Kuna utapeli umeibuka kwa njia ya simu. Kuna namba huwa unakuwa nazo kwenye simu, aidha ya rafiki au ndugu, anakupigia simu na kujifanya yupo hospitali kwamba amelazwa
Anakwambia ana mjomba wake yupo airport, hivyo anataka ampe namba yako ili umsaidie jambo. Baada ya hapo, huyo mtu atakupigia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.