Recent content by KingOfSmile

  1. KingOfSmile

    Hisia: Ulianza kujihusisha na ngono ukiwa na umri gani na siku ya kwanza ilikuaje?

    SIKU YA KWANZA NAMLA NA SIKU IYO NIKAACHANA NAE. nikiwa kidato cha nne mkoa flani iviii maarufu sana hasa kipindi kile cha Ndugu wananchi, basi banah ile mida ya saa 3 usiku hasa siku za mbaramwezi huwa kuna ile michezo ya kombolera sijui pande zenu mnauhitaje., wadogo zangu na majiran...
  2. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uliliwa bila chenga hata kidogo
  3. KingOfSmile

    Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

    Hiii imevuka stage zote za legend na wajuba...! Bado tunakutafutia level yako
  4. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Vitu vya ajabu kama vitu gani ivo
  5. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Masihara ni yap...!? Mie naelewa n ile unakula tunda ambalo hukupanga kulila Siku iyo, na imetokea automatic tu wote mkajikuta mnakulana...! Ww hujawahi kuliwa katika mazngra hayo..!?
  6. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nakuelewa vizurii mkuu
  7. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Pia anaweza kuwa amecopy na kupaste ili page iwe active kidogo
  8. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Unanichekesha sana sana wapo hadi 50 wanapata M.P, just try kufuatilia zaidi.....!
  9. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ile napak gari tu pale lodge simu ya Mum ikaita, akasema kijana mwenyewe ndio huyu anapiga. yule kijana akamwambia yupo reception hapo lodge amekuja na rafiki zake watanaka kumsalimia........! Nikamwambia siwez onana nao ila wakiondoka nipigie......., akaniuliza kwann sasa huhitaji kuonana na...
  10. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Usinywe chai kavu, nakuletea muhogo now..!
  11. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kipimo cha kuona na kutambua kama n chai au sio chai kila binadam anacho mwenyewe...! Nmemuomba Mum wa dar aseme jambo coz n member labda itafika point atasema jambo....! then Ninachokielezea hapa ni kilichonitokea nikamla Mum wa dar na ninatambua kwa uelewa wangu sijaweka chai wala kahawa...
  12. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...! Kesho yake asubuhi na mapema hata sijatoka kitandani ukizingatia uchovu wa safari ya jana na Mambo ya Mum wa dar, simu yangu ikaita kuichek n yule binti XXX ndio alikuwa anapiga nikaipotezea gafla SMS ikaingia ilikuwa ya salam tu kutoka kwa yule...
  13. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kula kimasihara kwa Ji-MAMA namuita MUM wa dar...! Ilikuwa mwaka jana mwez wa 12, niilikuwa natoka DAR kwenda MWANZA na basi la Dar Lux, ile nimefika pale shekilango nikaingia ndani na kuchek siti yangu namba 15 ilikuwa free na namba 16 nayo kulikuwa hakuna mtu, daah kimoyo moyo nikajisemea ivi...
  14. KingOfSmile

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    🤣🤣🤣 daah we nouma, kumbe sipo mwenyewe ...!
  15. KingOfSmile

    Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

    Au n ww unatumia jina tofauti hapa....! Nakumbuka siku tumefunga chuo
Back
Top Bottom