Jamani mie ni miongoni mwa waliotuma maombi ktk chuo cha mati uyole mpaka sasa sielewi kama post wametoa,coz sijapata barua tafadhali mwenye no za mkuu wa chuo au za mwanachuo yeyote naomba aniwekee hapa pia kwa anaejua naomba anibipu kwenye no 0762525467 mie nitampigia ili anipe maelekezo...
Mie ni miongoni mwa waliochaguliwa ktk chuo cha ilonga kilosa we chakufanya nipigie cm nikupe no ya mkuu wa chuo ili aangalie jinalako kama umechaguliwa, pamoja sana.Jitahidi nipigie cm no yangu ni 0762525467 ili nikupe maelekezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.