Nimettembelea sana man... Madalali wengi. Istoshe wanakuzungusha hata kama wanajua gari wanazokuonyesha haziendani na bajeti. Ako.
Hapa naamini kusomwa na owners na sio madalali mkuu
Wakuu, kichwa cha habari kinahusika..
Nahitaji kagari kadogo kadogo cha kimjini mjini, kama IST, Vitz, Allex, Raum au Sienta... Budget inaweza kupanda kidogo kama gari itakua imesimama... Kama una gari njoo inbox.
Naomba kuwasilisha...
Habari za Jumamosi njema wana-Jamvi.. Natumai mmeinza salama, na kwa wale walioingia kwenye kuchakarika naomba niwatakie kila la kheri.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika hapa. Hawa jamaa wanaojiita BrighterMonday nadhani wameishiwa kabisa strategy za kuwafikia wateja wao, and now...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.