Kwanza kabisa angalia feni kama inafanya kazi kama hipo poa badili thermal paste kwenye processor safisha vizuri mfumo wa upumuaji wa laptop yako [emoji817] % done
Habari za muda huu Wakuu, kama nilivyo sema hapo kwenye kichwa cha habari naitaji fundi wa camera Nina camera yangu canon 70d ina error 30 camera nyingine ina error 20 nawakilisha
Kwanza angalia hard disc uwenda inatatizo,
Windows pia uchangia hilo tatizo kama windows itakuwa na shida pia angalia cooling system kama inapata Moto Sana ujue hilo ndio tatizo lenyewe fanya hayo kwanza
Punyeto ni tendo lolote la kujitafutia akshi binafsi hasa kwa kuchochea viungo vya uzazi. Wengi wanaofanya huu mchezo wa kujiridhisha wenyewe (punyeto) huwa wanasukumwa na msisimko uliowapata na wengine hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kama vile ukimwi na gono.
Punyeto ni uteja kama ulivyo...