Hilo jina tu Mutungi. Yaani wahaya ni wachafu sana katika rafu za rushwa na figisu. Amini nakwambia ni tatizo kubwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na mbwembwe nyingi za wachungaji, mitume na manabii kukitokea matatizo yoyote katika jamii wakijinasibu kuyamaliza kwa uwezo waliopewa.
Mara nyingi wao hutunga vitu na kusisitiza wameoneshwa na Mungu na kutamka kuviondoa. Wakijinasibu wakati mwingine hata kusema wanawaponya watu...
Fanya mambo matatu, usiwe mtu wa kusali sana, usiwe mtu wa watu sana (marafiki), usielezee mafanikio au mipango yako wala kuyaonesha, ukiweza angalau uwe mtumiaji wa kitimoto na bangi. Nakwambia wachawi huwezi kuwa kwenye channel zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki Juzi nikaenda Aga Khan nimcheki urologist lakini pia nkaenda Muhimbili. Ninatumia bima za Afya mbili ambazo ni NHIF na STRATEGIES. Sasa hawa jamaa wote nkawaona madaktar kwa pande zote mbili vitengo vya Urology.
Nimefika Muhimbili nkawaelezeaaaa wakanipa vipimo nkaenda maabara nkapima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.