Hivi' ni' kweli' Wamiliki wa Vituo vya Mafuta hawakuweza kununua EFDs mpaka wasaidiwe na Serikali!? Au ni mwendelezo wa utani' waliokuwa wamezoea kufanya awamu' zile' za kale. Hawajui ya kuwa; ya kale yamepita, na tazama Sasa yamekuwa Mapya'?
Sent from my TECNO DP8D using JamiiForums mobile app
Masahisho kidogo, maneno: laggage ya kistaarabu, yasomeke: lugha' ya kistaarabu. Sometimes Android dictionary inaharibu maneno yetu ya kiswahili kwa spell check.
Sent from my TECNO DP8D using JamiiForums mobile app
Nadhani tatizo kubwa zaidi hi kutaka ku- comment kwa' Kila thread hata Kama huna' uwezo wa kuelewa wazo kuu' liliwekwa kwa' mjadala. Sasa ikiwa huwezi kufuatilia hata taaarifa za habari za ndani' tu', utawezaje kuchangia mada' zinazopostiwa!? Na ni Nani atafanya kazi' ya kukusaidia' Maamuma'...
Kama huja isikia habari hii' usichangie. Sio lazima utoe maoni kwa' Kila hoja. Just assess your competencies and contribute appropriately. Bado nakutegemea dogo.....
Sent from my TECNO DP8D using JamiiForums mobile app
Wewe fikiri kama mtu mwenye Ubungo! Tuna angalia picha kubwa ya mwelekeo wa taifa letu, maswali ya Msigwa hayakuwa na content. Anadhani sisi hatujui alivyohujumu kondoo wake mpaka wakasambaratika? Anyameze tuzungumze maslahi mapana ya Taifa na Jinsi mafisadi wanaosafishwa wanavyoweza kuliokoa...
Huyo Mchungaji wenu sijui huwa ana mchunga nani. Huwa hana uwezo wa kuandaa hoja hata ungempa mwezi mzima Library. kama anatolewa kamasi na chiku abwao angeuwezaje mziki wa Polepole?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.