Recent content by kingcomrade

  1. kingcomrade

    Tanga Vodacom and Airtel sites

    kama kuna anaefahamu mkoa wa tanga kuna site ngapi za vodacom na airtel na ngapi ni 2G na 3G katika kila wilaya. naomba msaada plz kama kuna mwenye info zote hizo nasaka ajila kampuni moja ya mawasiliano sasa kabla sijaenda huko tanga wamenitumia niende nainfo hizo kama challenge.mimi niko...
  2. kingcomrade

    Nauza kuku wa kienyeji

    Wadau nauza kuku wakienyeji kwa sh 12000 nakuletea mkoa ulipo ukiweka oda ya kuku wasiopungua 50 na pesa ni keshi sio mkopo 0755941000
  3. kingcomrade

    Nataka kuacha kazi

    kazi ni utumwa asilimia kubwa ya sisi vijana nikushindwa kuthubutu na kusongambele na hii husababiswa na uoga na kutokujiamini wewe umeshathubutu sasa songambele ajira ni utumwa na unyanyasaji tu.kila la kheli kaka MSHALE KWENDA PORINI HAIMAANISHI UMEPOTEA
  4. kingcomrade

    Wapi na pata mkopo bila mali isio hamishika

    kaka nilishaenda crdb wakanambia hawana utaratibu wakuacha cheti kama dhamana
  5. kingcomrade

    Agent nipo

    WANAO HITAJI AGENT WA BIDHAA ZAO NA HUDUMA KWA MKOA WA TANGA NIPO AGENT TUWASILIANE KWA wani PM.
  6. kingcomrade

    Wapi na pata mkopo bila mali isio hamishika

    Nataka kujiajili lakini mtaji sina je wapi nitapata mkopo bila mali isio hamishika?
Back
Top Bottom