simba wapo juu wanaoiponda wana chuki nayo binafsi. pia nyiwe wana arsenal timu yenu mbovu haina uwezo wa kupambana na timu zinatoka kuchukua ubingwa. kwemye mbio za ubingwa jitooeni kabisa
ni muhimu kuwa na serikali ya tanganyika kwani kila mwaka zanzibar wao husherekea siku ya mapinduzi na wana rais wao lakini sisi watanganyika tunasheherekea 9 disenba wakati serikali ya tanganyika haipo. huu ndo wakati wa kuunda serikali ya tanganyika na itasaidia kuupunguza kero zinazoitwa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.