Habari,
Nimepata recommendation ya kujaribu JF ili kutafuta rafiki wa kike.
Mimi ni kijana, mwenye wa kadri ya miaka 30, nafanya kazi Dar, na nitapendelea kupata msichana/mwanamke anayejielewa kwa maana ambaye anahitaji kuwa na mahusiano ya msingi na yenye makusudio ya kuleta matunda kimaisha...
Habari ya leo!
Niko Dar, nafanya kazi, niko single, sina familia, najitegemea, nina miaka 34.
Natafuta mchumba mwenye kujiheshimu, anayejua anataka nini maishani mwake, aliye kwenye umri kati ya 22-41, mwenye ajira, aliyejiajiri au mwanafunzi ila mwenye misimamo yake, haijalishi kama ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.