Recent content by king wa kings

  1. K

    Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

    Central Africa ni taifa linalomilikiwa na kikundi Cha watu , afu huko kumiliki jembe ni marufuku
  2. K

    Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

    Ila fedha yao iko juu ni mara nne ya TZ shilling ajabu sana yaani ukiwa na CFA ya Central Africa 10,000 bongo ni Tsh 40,000/-50,000/
  3. K

    Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

    Waliotengeneza program za macrosoft za Bill Gates ni Indian mathematics professors na Gates kwa ajiri 40% wahindi so ni mjanja mjanja tu
  4. K

    Kwanini hadi leo makao makuu ya mikoa 18 bado kuunganishwa kwa barabara za lami? Je, ni umasikini, ukubwa wa nchi au ufisadi na kukosa akili?

    Sio factor pekee hiyo , pia bajeti ya billion 600 hakuna pia ujenzi wa km moja kwa bei ya Sasa kilometer moja ya lami standard ni mil 800 hadi b 1.2
  5. K

    Madanguro yanayovunjwa na RC wa Dar ni kiduchu kwenye biashara moja kubwa sana

    Unesahau kwenye magari tinted watu wanaliwa balaa
  6. K

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Mtoa mada anatabia za kimaskini japo hujifanya kuwachukia masikini wenzake kwa waliona na unafuu wa kipato kutoa ni kawaida Tena zungukia hadi vituo vya watoto yatima toa misaada kublock watu ni umaskini kiwango Cha ufukara
  7. K

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Wengine wazazi waliotangulia mbele ya haki wanatamani wangekuwepo wawasaidie ila ndio hawapo Tena kwa sie ambao bado wazazi wapo saidia bila kuombwa kama Baraka zipo na laani ipo achana na mtoa post aliyelaaniwa kitambo anataka kushawishi na wengine wajiunge naye , haya mambo ya social media...
  8. K

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Wengine wazazi waliotangulia mbele ya haki wanatamani wangekuwepo wawasaidie ila ndio hawapo Tena kwa sie ambao bado wazazi wapo saidia bila kuombwa kama Baraka zipo na laani ipo achana na mtoa post aliyelaaniwa kitambo anataka kushawishi na wengine wajiunge naye , haya mambo ya social media...
  9. K

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Niamini mimi ulishalaaniwa kitambo bado swala mda tu , afu hoja zako nyingi ukileta huwa zinaonyesha ulivyo tupu kichwani
  10. K

    Je, JWTZ linaruhusiwa kisheria kufanya msako kwenye nyumba za watu Tanzania?

    Hizo ni Kazi za jeshi wakati wa amani brother hawawezi kaa wasubiri budget ya serikali ambayo sio tosherevu katika sector nyingi nchini
  11. K

    Masikini wanakera sana, nawachukia mnoo

    Masikini ananyanyasa masikini mwenzie ajabu, wewe sio tajiri kwa vigezo hasa vya utajiri
  12. K

    Ushauri: JWTZ/JKT wajikite kwenye tafiti za kisayansi na teknolojia. Wabuni silaha zao wenyewe

    Fanya tafiti kidogo tu nchi zote zilizotuzunguka majeshi yao yana project kuanzia Rwanda hadi Kenya Egypt jeshi leo ndio wamiliki wa hotel kubwa kubwa SA pia Jeshi linamiliki hata hapo nchini zipo project kubwa vipo viwanda vya hawa jamaa sema uzi umeuleta kimbea flani ili upate wakosoaji kama...
  13. K

    JWTZ: Jeshi letu ni kati ya Majeshi 6 Bora duniani

    Jeshi limefanya kosa kubwa kumpa usemaji mtu mwenye uelewa mdogo wa current issues hakutakiwa kutoa data sababu namba hazidanganyi hata Afrika hiyo namba hatujafika yeye anasisitiza sio Afrika duniani kwa ubora upi tuizidi German, France, nk
  14. K

    JWTZ: Jeshi letu ni kati ya Majeshi 6 Bora duniani

    Taasisi imara hii sidhani kama inaweza dharirishwa na mtu moja hayo ni mapungufu yake na uelewa wake imeishia hapo labda
Back
Top Bottom