Kama nilivyoeleza hapo macho yangu yanauma ninapokuwa nafanya kazi zangu ambazo zinanilazimu kuwa kwenye PC kwa muda mwingi sasa nahitaji kujua kwa hapa Bukoba wapi naweza ipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow viongozi,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo
Binafsi ni kijana 20s kazi yangu inanilazimu kuwa kwenye computer kwa muda mwingi mpaka kwa masaa (12) tatizo ni kwamba macho yangu yamekuwa na matatizo katika siku za hivi karibuni nikitazama kwenye kompyuta macho yanakuwa yanauma na...
Wakuu me ni mgeni kwenye ulimwengu wa pc ndo nimenunua ila pc yagu ni ndogo HDD 120gb
Ram 2gb
Sasa nilikuwa nataka kuuliza ni program ipi inaweza nisaidia ku edit simple videos bila kuongeza effect zozote
Kama ni ndio inawezekana
Basi program iwe na uwezo wa kufanya haya
1-ku cut clips...
Wakuu kama kinavyojieleza kichwa cha habari nahitaji fundi mahiri wa kompyuta.
Laptop yangu jana ilikuw inafanya kazi vzr tu ila leo asubuhi nilipotaka kuwasha ikakataa nikanunua chaja mpya pia ikakataa kama kuna anaejua shida au fundi hapa bk mjin aniunganishe nae.
aina ya pc ni Hp
Sent...
Dah bandugu n kwel mafanikio sio kwa kila mmoja ila inapofikia hadi mlo ukawa mgumu sasa hapo ni bora kufika china au popote nipate hela ya kujikim natanguliza shukran ndg zangu hebu nisaidien kwa hili mambo yanaachia kwa muda huo huo yanabana mpk sasa nikivuta pumzi nahisi maumivu kwa majanga...
Hiii platform nimeanza kuitumia week moja mpk Sasa but nimejikuta nikiengeza Kasi katka Safari yangu ya kujifunza programming. Mara ya Kwanza ilikuwa nikiwa na swali nazunguka naloo weeeww huko Google na mwisho sielewi na kuwatumia swali programmer ninaowafaham ila hakuna hata mmoja ananijib...
Kama kichwa cha habari kinavyosema Mimi ni mgeni katika hii industry nimeweza kujifunza HTML na CSS na mpk Sasa nimekuwa na uwezo wa kutengeneza webpage angalau kidogo shida yangu ni nahitaji niweze kutengeneza ki website yani (niunganishe pages na kuzihost mtandaoni) ili nijipime uwezo wangu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.