king online
Member
- Mar 30, 2018
- 34
- 17
Hellow viongozi,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo
Binafsi ni kijana 20s kazi yangu inanilazimu kuwa kwenye computer kwa muda mwingi mpaka kwa masaa (12) tatizo ni kwamba macho yangu yamekuwa na matatizo katika siku za hivi karibuni nikitazama kwenye kompyuta macho yanakuwa yanauma na sio kuniwasha bali yanauma hayatoi machozi muda mwingine yanauma mpaka nainama au nabadili mwelekeo wa shingo (kutokana na maumivu nayohisi).
Wengi wamenishauri niachane na kukaa kwenye kompyuta kwa muda mrefu ila bahati mbaya ndio kazi yangu naomba kama kuna njia ya kitaalamu inayoweza nisaidia mnijulishe wadau
NATUMAI NITAPATA SOLUTION KUTOKA KWENU WAKUU
MACHO YANANINYIMA UHURU WA KUFANYA MISHE ZANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo
Binafsi ni kijana 20s kazi yangu inanilazimu kuwa kwenye computer kwa muda mwingi mpaka kwa masaa (12) tatizo ni kwamba macho yangu yamekuwa na matatizo katika siku za hivi karibuni nikitazama kwenye kompyuta macho yanakuwa yanauma na sio kuniwasha bali yanauma hayatoi machozi muda mwingine yanauma mpaka nainama au nabadili mwelekeo wa shingo (kutokana na maumivu nayohisi).
Wengi wamenishauri niachane na kukaa kwenye kompyuta kwa muda mrefu ila bahati mbaya ndio kazi yangu naomba kama kuna njia ya kitaalamu inayoweza nisaidia mnijulishe wadau
NATUMAI NITAPATA SOLUTION KUTOKA KWENU WAKUU
MACHO YANANINYIMA UHURU WA KUFANYA MISHE ZANGU
Sent using Jamii Forums mobile app