Tangazo lilitolewa tena january 20 ila wa mwanzo walifanya interview desemba wakapata machine operators na wakatoa tena tangazo january 20 nlituma sikuitwa ata kweny interview
Nawasalimu sana mim ni kijana mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa nlizaliwa miaka ya 90's baba yangu alikuwa ni mfanyakazi wa idara ya maji miaka hiyo ila tulivoambiwa na mama yetu kuwa aliachaga kazi yey mwenyew baada ya kuacha kazi...
Hapa naona kujisajili hii ajira portal umekuwa ugonjwa wa taifa juz nmehangaishwa na dada flani siku nne mfululizo nikimuelekeza umiza sana kichwa na mim uwa sikubali kushindwa kumbe watu wa procurement wana maboard yao wanabidi...
Ao waendesha usaili na kuleta upendeleo ni kujitafutia lahana tu mtu anatoka wapi huko mbwinde majembe kuinama na nauli anakopa alafu nafasi unampa mtu kwa magendo
Amna vya Cv wala nini ata kesho ukienda ukifika unavalishwa gwanda na buti direct kwenda kulinda mshahara laki amsini ukiwa na tatizo ujaenda kazini bila kuwapa taarifa wanakata elfu kumi unaweza kaa ata miezi mitatu bila mshahara ika...
Amna vya Cv wala nini ata kesho ukienda ukifika unavalishwa gwanda na buti direct kwenda kulinda mshahara laki amsini ukiwa na tatizo ujaenda kazini bila kuwapa taarifa wanakata elfu kumi unaweza kaa ata miezi mitatu bila mshahara ika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.