Mimi ni mdau wa michezo kwaiyo niko kwaajiri ya maendeleo na kukuza tasnia ya michezo. Tujadiliane bila kuegemea upande wala mahaba na club ili tujenge
Kama hazina chapa ya kampuni ya MO Dewji basi inabidi tufuatilie nani katengeneza maana yawezekana wakawa wale maharamia wa mjini wanaopita mlango wa pili kujinufaisha na brand ya Simba. Turipoti kwa vyombo husika
Umeeleza vizuri ila swali Je kama wanatangaza kurusha roho tu asa vipi kuhusu TRA kwenye suala la kodi maana ukisema umeingiza billion 20 watakuja kukata kodi ya wewe kuingiza billion 20 na sio chini ya apo, Al kadharika na taasisi nyingine pia. Yaani huwezi andika umeingiza billion 20 afu...
Taarifa za fedha ni izo tunazoona wanaingiza mbona ziko wazi ila matumizi ya fedha ndio hayako wazi ndio maana uleta maswali yasiyo na majibu. Ndio sababu kuna mjadala kama huu Simba inaingiza mabillioni ambayo yangeweza endesha klabu na kufanya maendeleo makubwa lakini ajabu ni mwekezaji ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.