Hayo watu wanayafanya na ni athari za mapokeo ya kasi ya sayansi na teknolojia na kuvunjika kwa mila na desturi zetu. Ulifanya la maana kuondoka coz u can lean by doing.
Huyu jamaa ametoa elimu ya ukweli ila nadhan hii inategemea na nature ya mtu mwenyewe make haya mambo yapo kisaikolojia zaid ndo mana ukipata mshituko au ukihis ki2 flan ambacho c cha kawaida inasinyaa hata km hujamaliza.
Naomba kuuliza Hiyo interview ni ile ya Open University waliyokuwa wanatafuta watumishi ktk kada mbalimbali ambayo walitangaza kama miez miwili iliyopita.?
Mimi nadhani tatizo ni mfumo make Mwl. J.K Nyerere alivyoanzisha ule mfumo wa Elimu ya ujamaa na kujitegemea alitaka tuish km jamii moja na mfumo uruhusu kujitegemea baada ya kumaliza shule, hapo ndipo tukaona masomo mbalimbali km sayans kimu, kilimo, biashara nk yalikuwa ni specialized subjects...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.