Issue si kuvaa helmet wala pikipiki kukamilika ukinikuu vizuri kunamahali nimesema napenda wanavyo jali uslama wa chombo na mwendeshaji kero yangu n aina ya ukamataji
Mfano kuna walitukamata mimi kofia ngum nilivaa pamoja na dereva japo nilikua naifuta jasho ingali pikipiki ikiwa inaenda...
Habari wakuu mimi ni kijana naishi Mikoa y kanda ya juu Kusini nimekuja Dar es Salaam Kama miezi mitatu iliyo pita namaanisha kukaa bila kuondoka Kwa muda mrefu.
Japo huwaga nakujaga nakaa wiki nikimaliza kilicho nileta naondoka nilifanya hivi kwa muda mrefu.
Sasa na kero moja niliyo ishuhudia...
Ni jamaa yangu kabisa na hata mambo ya JF haya jui suluhisho ni kumsaidia ningekua mimi nisinge sita kujisemea kwani hakuna ubaya wowote kujisemea tatizo lako tena hata sura na jina halisi sijulikani ningeogopa nini Mkuu
Tumsaidie kijana mwenzetu ndoa yake ipo pabaya mkewe anamuwazia kumuacha
Niende kwenye Topic muhimu direct mimi King Kakaa na rafiki yangu tulie shibana sana jina Kapuni.
Rafiki yangu huyo naishi nae jirani hapa mjini ila Mkewe mwajiriwa Mkoa mwingine tofauti na mumewe sasa Jana jioni bila kunificha alianza kunieleza yanayo msibu.
Yeye ni Mtu wa Totoz sana sasa...
Mimi siku ananiambia hajielew alikua anampango wa kwenda masomon Canada alipata scholarship kwa wafadhili fulan
Sasa tulikua tupo Kurasini pale Uhamiaji tunashighulikia Passport akaanza mara nahisi vibaya mara sijui nn tukaenda kula kwenye vile vikantin vya nje kule
Ile anakula nakumbuka Ali...
Huwa naonaga michango yako humu ming huwa najiuliza huwaga unawaza chochote akilini mwako au upo kama muamzi ulio tobolewa
Kesi walio ifuta ni akina Kibatala?
Wewe wa huko una Wajua?
Nimepata ushuhuda wa watu wa mataifa mbal mbal wakiwasifu sasa kote huko kuna Miranda’s ya kijamii na vyombo vya Habari mbona hatukusikia
Mimi Binafsi kabla ya kesi ya Mbowe nilikua sikuwahi kuwafatilia kiundani Mawakili wale wa Mbowe ila baada ya kuanza kuwatetea akina Mbowe ndipo nilipo anza kuvutiwa na kuwafatilia.
Kila nilipo kuwa naingia JF kufatilia live kesi ile basi nilikua naanza kusoma pale mawakili wa upande wa utetezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.