Recent content by King JiluX

  1. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Shukran kwa ushauri mkuu, ngoja nijaribu kuangalia hizo pia. Japo ALAF inaonekana ikipewa maua yake sana. Japo kuna wanaosema wanatumia jina.
  2. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Okay shukrani kwa ushuhuda, acha nirudi kulekule kwenye kuzingatia brand tu. ALAF.
  3. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Kumbe hadi hizo za vigae zinapauka nazo.??
  4. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Nini maana ya jukwaa kama nitaenda dukani ambapo utofauti pekee watakaorefer ni bei ya bati tu??
  5. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Suala la kujenga, kuishi nyumbani na kutoa ushuhuda wa kuona bati ya chengachenga kama huwa inapauka vinahusiana vipi great thinker??
  6. King JiluX

    Je, kuna mtu mwenye ushuhuda wa bati za chengachenga zilizowahi kupauka?

    Kumekuwa na maoni kadhaa kuhusu ni bati kutoka kampuni ipi hasa ya kutumia wakati wa kupaua ukizingatia tofauti ya bei kutoka kampuni hizo, huku kukiwa na maneno kuwa kuna baadhi ya kampuni zinauza kwa gharama ya juu kisa jina tu la brand ila katika ubora kuna kampuni zenye mabati bora ila...
  7. King JiluX

    Mdee na wenzako 18 nendeni mkaipate haki yenu Mahakamani

    Kwanini unatuhusisha tusiohusika mjomba???? Tumefanyeje tena sisi wa shule za kata??
  8. King JiluX

    Forex Trade imeniumiza

    Forex isn't for jobless people.
  9. King JiluX

    Mungu aliwaadhibu Wanadamu kwa kosa lililoletwa na Malaika wake

    Limits pekee itakayokufanya uwe positive katika hukumu hiyo ni kuogopa kukufuru, Unless that many judgements in holy writtens are unfair.
  10. King JiluX

    Story behind your date of birth

    Sasa inawezekana vipi vitu vikaenda tofauti at all. Maana kwangu vimeenda kila kitu.Yaani kila kitu utafikiri nimetaja hadi jina langu.
  11. King JiluX

    Story behind your date of birth

    Kuna kaukweli kiaina flani. Your thread is like talking about me. But unfortunately you dont give us an option or way to move out from that.I'm 22rd. Wazazi wako walikudanganya siku uliyozaliwa ,au pengine waliibuni hiyo unayotumia baada ya kuisahau tarehe halisi.
Back
Top Bottom