Recent content by King j

  1. K

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Kwangu binafsi mheshimiwa sioni kama kuna baya lolote mlilolifanya kwakua kwa mara ya kwanza ndio nimeona sheria imefuatwa katika kamati zote za tff tokea ianzishwe,huo ni ushindi mkubwa na heshima kwako,ushauri wangu leo utaambatana na mapitio ya baadhi ya matukio ya kiuongozi hapo tff...
  2. K

    3 ni za kwe2 simba!

    Kweli kabisa kaka,ndala yake mchanga,mnyama yake nyama,kelele nyiingi wanaishia kuzimia.
  3. K

    Hii piccha ya yanga na simba imenchekesha sana ione?

    Ukibalehe ndipo utakuja kugundua kwamba ulilifanya halistahili kwa hapa,jitahidi leo uwahi shule ukasome maarifa ya jamii yatakusaidia,msikilize mwalimu wako kwa makini sana mdogo wangu.
  4. K

    RAG atishiwa kuuawa na Simba....!!

    Ama kweli kila kuku ana banda na mfugaji wake,duh.
  5. K

    Mashabiki wa simba dar ni wanafiki

    Umemaliza mkuu,nahisi kuna pesa imetumika kuwavalisha watu jezi za simba,in short hao si mashabiki wa simba,wengi wamepewa pesa na jezi,usishangae ujafanyika ujanja siku ya mkutano mkuu wakingizwa na kupindisha maamuzi ili huyo boya aendelee kubaki.
  6. K

    twendeni tukampokee Rage

    Hakusema hivyo,alichosema wambura ni kwamba anataarifa ya maamuzi ya kamati ya utendaji ya simba kumsimamisha rage mpaka mkutano mkuu wa mabadiliko ya katiba,hatumtaki na wala hakutakuwa na mabadilhko yoyote katika hili,wadhamini hawana mamlaka yoyote waganga njaa tu,kwanza wewe ni yanga na...
  7. K

    Hivi ni kweli wanasimba tunaipenda simba

    Jana ktk kipindi cha michezo nilimsikia mzee kilomoni akishangazwa na uamuzi wa kamati ya utendaji kumsimamisha rage kwa madai kwamba hawakufuata katiba inavyosema,kwa bahati mbaya hata katiba yenyewe haiwapi mamlaka hayo kwakuwa wao wadhamini wapo chini ya kamati ya utendaji,ndugu zangu wana...
  8. K

    teh teh teh

    Bahati yake mbaya sana,pole yake aisee,wadau tumchangie ili aende india.
Back
Top Bottom