Wakuu habari.
Nitaandika kwa kifupi sana.
Ninawashwa pumbu tangu 2016.
Awali nilitumia dawa nyingi mno lakini wapi.
Nilipandishaga uzi hapa nikashauriwa nitumie cream ya skerdem. Kweli ilinisanidia nikapona kabisa ila baada ya mwezi ikarudi tena.
Hii cream ndo cream pekee ambayo nikipaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.