Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 770
usifanye mapenzi miezi mitatu na endelea na hiyo dawa. Baada ya hapo tatizo litakwisha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama hupaki basi kuna tatizo mahali zingatia tu usafi
Mimi nilishaitumia kama wiki mbili hivi sikupona.Mkuu pole Sana kuna Mdau aliwahi post humu na mimi Ndio dawa ninayoitumia nipatapo fungus.chukua nusu dozi ya septrine .Visage vidonge viwe unga kabisa then changanya na Mafuta ya vaseline ya mgandoLile kopo Dogo changanya vizuri kisha paka baada ya kuoga asubuhi na Jion ndani ya siku mbili utaanza kuona mabadiliko na utapona kabisa.
Mimi nilishaitumia kama wiki mbili hivi sikupona.
Labda nijaribu tena.
Vipi athari zake kwa mama mjamzito?
pole Mkuu Ni dawa ninayoitumia Sana kuhusu wajawazito sifaham mkuu.
Sawa mkuuusifanye mapenzi miezi mitatu na endelea na hiyo dawa. Baada ya hapo tatizo litakwisha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tafuta Fluconazole ya 200mg kisha meza kimoja tu kwa siku kwa muda wa siku kumi. Usichukue ya 150mg bali hakikisha iwe ni 200mg.
Asante sana mkuuMkuu tumia kitunguu saumu meza Kama dozi angalau 8x2 ndani ya siku 15... Pia kunywa mdalasini kila asubuhi mmbadala wa chai mtapona hata Kama tatizo lipo kwenye damu....
Kumbuka
Hakikisha unakula chakula Cha kutosha na maji ya kutosha na usikae na njaa muda mrefu kwani vitunguu saumu vinakwangua tumbo
ciproflaxin
Kama walivokushauri wengi tumieni vitunguu swaumu kwa siku 7 Hadi 21 pia hakikisha hamna pressure ya kushuka na wife sio mjamzito
Kingine upande wa vyakula punguzeni kula wanga haswa isiyokobolewa na vyakula vya kiwandani,sukari kwenye chai muache
Sabb vyote ni vyakula vya fungus ndo maana haiponi
Maji mnayonawia sehemu nyeti wekeni chumvi au ACV(apple cider vinegar) au limao
Mi mamsapu wangu Alikua na fungus sugu akaandikiwA asfluvin ilimsaidia vp inatofauti na fluconazoleMkuu ungepata na yakumeza utumie pamoja mfano (fluconazole)..then uendelee kupaka hiyo cream as long as possible..taratibu zitapungua na mwishoni kuisha
Kingine ni hakikisha hizo za kupaka hazina steroid,maana utaongeza shida juu ya shida..
Anti-fungal zipo nyingi chief..na hiyo aliyopewa ni tofauti na fluconazole..lakini ni nzuri piaMi mamsapu wangu Alikua na fungus sugu akaandikiwA asfluvin ilimsaidia vp inatofauti na fluconazole
Zinaandikwa kwenye boksi
Wakuu habari,
Kama mnakumbuka muda kadhaa uliopita, nilipandisha uzi hapa Jamvini kuomba ushauri wa kitabibu kuhusu tatizo la Fungus sugu kwenye Nyeti lililokua linatusumbua mimi na mke wangu kipenzi
Please Tusaidieni Mimi na Mke wangu tunaumwa fangus kwenye nyeti kwa muda mrefu bila kupata
Wakuu habari, Mimi ni mgeni hapa JF. Ni mgeni maana nimefungua account leo. Ila nimekua nikisoma na kufuatilia mjadala mbali mbali ya afya humu ndani kwa miaka mitatu ila sikua nachangia. Nina umri wa miaka 30 na mke wangu ana miaka 27. Mwaka 2016 mwezi wa nne, nilisafiri kikazi kwenda huko...www.jamiiforums.com
Niwashukuru sana wote mlionipa ushauri na jinsi ya kulitatua hili tatizo. Kwa kweli sasa hivi mimi na mke wangu tunaendelea vizuri.
Nilipokea ushauri mwingi sana ila nikaamua nianze na mmoja kwanza maana ni ngumu kufuata kila ushauri kwa wakati mmoja.
Nilianza na ushauri wa ndugu American Ninja ambaye alinihakikishia kuwa, kuna dawa anayoiamini kabisa inaweza kutusaidia, nayo ni SKDERM CREAM.
Niliinunua hii dawa na tukaanza kuitumia mimi na wife. Baada ya wiki moja tukaanza kupata releaf. Na hadi sasa muwasho umepotea.
Shida moja ambayo ipo, ni baada ya kuitumia kama wiki mbili hivi, tukasema tuache kutumia tuone.. Baada ya siku mbili tu, muwasho ukaanza kurudi kwa mbaali, ila tukitumia dawa unakata.
Kuhusu usafi, tunazingatia sana usafi. Kila siku tunaweka shuka safi, nguo za ndani tunazifua na kuzianika juani na kuzipiga pasi kabla ya kuvaa.
Kwakua nimeshafika hatua hii ndugu zangu, nisaidieni tena ili niweze kulimaliza permanently hili suala na tukae bila kupaka dawa. Coz tukiacha tu dawa, linaanza kurudi tena hili suala la muwasho...
Msichoke kutupa msaada wenu.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu nimekuelewaAnti-fungal zipo nyingi chief..na hiyo aliyopewa ni tofauti na fluconazole..lakini ni nzuri pia
KWELI KABISA HII NI TIBA TOSHAMkuu pole Sana kuna Mdau aliwahi post humu na mimi Ndio dawa ninayoitumia nipatapo fungus.chukua nusu dozi ya septrine .Visage vidonge viwe unga kabisa then changanya na Mafuta ya vaseline ya mgandoLile kopo Dogo changanya vizuri kisha paka baada ya kuoga asubuhi na Jion ndani ya siku mbili utaanza kuona mabadiliko na utapona kabisa.