Feedback: Tatizo la Fungus sugu kwenye Nyeti, Dawa iliyonipa Relief na namna ya kulitibu kabisa.

Sipakagi mafuta yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hupaki basi kuna tatizo mahali zingatia tu usafi

Binafsi niliwahi pata vitu kama vipele vikubwa mwili kila nikipaka dawa haviishi nimekaa na tatizo mwaka mzima yaani juzi hapa eti nikapata suluhusi kwamba mafuta niliyokuwa napaka yalikuwa yana nilitea haya madude

Nimeacha kuyatumia na vyenyewe vimepotea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole Sana kuna Mdau aliwahi post humu na mimi Ndio dawa ninayoitumia nipatapo fungus.chukua nusu dozi ya septrine .Visage vidonge viwe unga kabisa then changanya na Mafuta ya vaseline ya mgandoLile kopo Dogo changanya vizuri kisha paka baada ya kuoga asubuhi na Jion ndani ya siku mbili utaanza kuona mabadiliko na utapona kabisa.
Mimi nilishaitumia kama wiki mbili hivi sikupona.

Labda nijaribu tena.

Vipi athari zake kwa mama mjamzito?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama walivokushauri wengi tumieni vitunguu swaumu kwa siku 7 Hadi 21 pia hakikisha hamna pressure ya kushuka na wife sio mjamzito

Kingine upande wa vyakula punguzeni kula wanga haswa isiyokobolewa na vyakula vya kiwandani,sukari kwenye chai muache
Sabb vyote ni vyakula vya fungus ndo maana haiponi

Maji mnayonawia sehemu nyeti wekeni chumvi au ACV(apple cider vinegar) au limao
 
Mkuu tumia kitunguu saumu meza Kama dozi angalau 8x2 ndani ya siku 15... Pia kunywa mdalasini kila asubuhi mmbadala wa chai mtapona hata Kama tatizo lipo kwenye damu....

Kumbuka

Hakikisha unakula chakula Cha kutosha na maji ya kutosha na usikae na njaa muda mrefu kwani vitunguu saumu vinakwangua tumbo

ciproflaxin
Asante sana mkuu
 
Tunaposema wanga isiyokobolewa, maana yake ni mchele na ugali wa dona?
Kama walivokushauri wengi tumieni vitunguu swaumu kwa siku 7 Hadi 21 pia hakikisha hamna pressure ya kushuka na wife sio mjamzito

Kingine upande wa vyakula punguzeni kula wanga haswa isiyokobolewa na vyakula vya kiwandani,sukari kwenye chai muache
Sabb vyote ni vyakula vya fungus ndo maana haiponi

Maji mnayonawia sehemu nyeti wekeni chumvi au ACV(apple cider vinegar) au limao
 
Mkuu ungepata na yakumeza utumie pamoja mfano (fluconazole)..then uendelee kupaka hiyo cream as long as possible..taratibu zitapungua na mwishoni kuisha

Kingine ni hakikisha hizo za kupaka hazina steroid,maana utaongeza shida juu ya shida..
Mi mamsapu wangu Alikua na fungus sugu akaandikiwA asfluvin ilimsaidia vp inatofauti na fluconazole
 
Napitia comments za wadau humu, taratibu na mimi nitakua tabibu mdogo mdogo tuu..
 
Pole sana kamanda. Kuna dawa nzuri pia inaitwa DIPROSALIC OINTMENT (ni ya tube) inasaidia sana. Jaribu
Wakuu habari,

Kama mnakumbuka muda kadhaa uliopita, nilipandisha uzi hapa Jamvini kuomba ushauri wa kitabibu kuhusu tatizo la Fungus sugu kwenye Nyeti lililokua linatusumbua mimi na mke wangu kipenzi


Niwashukuru sana wote mlionipa ushauri na jinsi ya kulitatua hili tatizo. Kwa kweli sasa hivi mimi na mke wangu tunaendelea vizuri.

Nilipokea ushauri mwingi sana ila nikaamua nianze na mmoja kwanza maana ni ngumu kufuata kila ushauri kwa wakati mmoja.

Nilianza na ushauri wa ndugu American Ninja ambaye alinihakikishia kuwa, kuna dawa anayoiamini kabisa inaweza kutusaidia, nayo ni SKDERM CREAM.

Niliinunua hii dawa na tukaanza kuitumia mimi na wife. Baada ya wiki moja tukaanza kupata releaf. Na hadi sasa muwasho umepotea.

Shida moja ambayo ipo, ni baada ya kuitumia kama wiki mbili hivi, tukasema tuache kutumia tuone.. Baada ya siku mbili tu, muwasho ukaanza kurudi kwa mbaali, ila tukitumia dawa unakata.

Kuhusu usafi, tunazingatia sana usafi. Kila siku tunaweka shuka safi, nguo za ndani tunazifua na kuzianika juani na kuzipiga pasi kabla ya kuvaa.

Kwakua nimeshafika hatua hii ndugu zangu, nisaidieni tena ili niweze kulimaliza permanently hili suala na tukae bila kupaka dawa. Coz tukiacha tu dawa, linaanza kurudi tena hili suala la muwasho...

Msichoke kutupa msaada wenu.

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole Sana kuna Mdau aliwahi post humu na mimi Ndio dawa ninayoitumia nipatapo fungus.chukua nusu dozi ya septrine .Visage vidonge viwe unga kabisa then changanya na Mafuta ya vaseline ya mgandoLile kopo Dogo changanya vizuri kisha paka baada ya kuoga asubuhi na Jion ndani ya siku mbili utaanza kuona mabadiliko na utapona kabisa.
KWELI KABISA HII NI TIBA TOSHA
 
Changanya Apple cider vinegar na maji ya vuguvugu kuoshea, mara 2 kwa siku ,kausha paka virgin coconut oil
 
Back
Top Bottom