Hivi suti nini? Kwa sababu mtu akivaa suruali ya kitambaa na shati bila lile koti anaoneka hajavaa suti ila akivaa Koti pamoja na suruali ya kitambaa na sauti ndo anaonekana kavaa,je suti nilile koti ama niaje nivipi?
Habari wana jf mmu, mada kuna jamaa yangu anaishi na mjomba wake kwa muda sasa. Mjomba wake ni mtu wa wanawake sana yaani mwamba ni womanizer haswa sasa katika pita za mjomba kuna demu alitokea kumpenda sana sana.
Huyo demu alikiua amuelewi mjomba kamtesa sana mjomba sasa umepita muda kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.