Recent content by KING GEORGE

  1. K

    Lowassa aweka mambo hadharani: Nitatoa uamuzi

    Kwahiyo hilo swala la richmond ni dogo sana ,mpaka afanye jingine ndo atakuwa amekosea sio?...kweli wewe ndo unaakili ya kuku.nyie ndo vijana mnaoangusha taifa hili t shirt na nyimbo za komba mnauza utu na kura zenu.pamoja na future za vizazi vyenu.
  2. K

    Pinda akimsaidia Malima: Tutabadilisha kanuni tuweze kununua mitambo iliyotumika

    ZOMBA we kweli zoba kama jina lako,we wanataka umeme unasema tukawekeze ? na watanzania wangapi wanahitaji umeme na hawana uwezo wa kununua hata jenereta dogo tu,we unaangalia wakubwa tu.Nyie ndo wale watanzania masikini wa akili kazi kutetea matumbo yenu kwa kupitia serekali yenu ya...
  3. K

    Zitto vs Spika bungeni leo

    Sasa unataka amtafutie nani umaarufu na wewe?.mbona spika anatafuta umaarufu binafsi ambao hawezi kuupata?...na wewe unatafuta umaarufu binafsi kumtetea huyo kigagula wenu.
  4. K

    Taifa kwanza: Rais na mawaziri 2015

    wewe lazima utakua nawazimu au umetumwa. Watu wanaongea mambo ya msingi wewe unaleta udini wako na masihara,nenda kwenye jukwaa la mipasho sio humu.nyie ndo wale watanzania wachache hasara kwa taifa letu.ukute maisha yako magumu tu lakini unashabikia upuuzi wa udini.
  5. K

    Sifurahishwi na utendaji wa mkuu wa nchi - Shyrose Bhanji

    Sikumbuki ni lini CCM imemsikiliza mtu,kama ingewahi kusikia basi leo hii hiko chama kinge shine sana...CCM inawenyewe wanaosikilizwa bwana kama akina mapacha watatu.
  6. K

    Lissu Vs. Chikawe: Prosecute or Not to Prosecute Chenge in BAE Scandal

    Unajidhalilisha uwezo wako wakufikiri kama unafanana na wa huyo babu asiye na jipya,sijui hawa wazee wanawafanya nini kibaya vijana nyie hata wakiongea pumba mnawashabikia tu ,Hivi Lisu unaweza kumfananisha na huyu tumbo tumbo yuko pale kutete tumbo lake tu.Majibu wanayotoa sikuzote ni majibu...
  7. K

    Lissu Vs. Chikawe: Prosecute or Not to Prosecute Chenge in BAE Scandal

    wewe akili yako na ya huo wasira zinalingana,bado mnamawazo ya mwaka 1961,unadhani kuna mikoa inastahili neema kuliko wengine? kweli wana magamba wote mnaakili sawa,ndomana mkitoa mwizi mnaingiza mwizi.
  8. K

    Nape ajibu makombora ya Marando

    Mafilili, mimi naona umeathirika na ugonjwa wa ufisadiliasis ,kwahiyo na kule mwanza,mbeya ,iringa,kigoma ni vitongoji vya kaskazini!.Mmh wewe ni shabiki wakijani tu kumbe,nilifikiri unahoja.Taswira tuliyonayo sisi CDM ndo chama kitakacho mkomboa mtanzania sio hicho chenu cha wanafamilia na walafi.
Back
Top Bottom