Mafilili, mimi naona umeathirika na ugonjwa wa ufisadiliasis ,kwahiyo na kule mwanza,mbeya ,iringa,kigoma ni vitongoji vya kaskazini!.Mmh wewe ni shabiki wakijani tu kumbe,nilifikiri unahoja.Taswira tuliyonayo sisi CDM ndo chama kitakacho mkomboa mtanzania sio hicho chenu cha wanafamilia na walafi.