Recent content by king edo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    Muandalie kombola la urusi usikubar kudharaulika na mtu kbsa
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    Kabisa,jifanye mjinga ila fanya mpango mpaka ajutie
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    saiz nina mwaka mzima sionani nae na nimeshahama mda sana
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    Siyo wazimu nilikuwa nina kisasi kikali kaka😆😆😆
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kulipiza kisasi kwa mtu aliyekuumiza au kukusaliti kwenye mapenzi?

    Nimewahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja hivi ,mwanzo alikuwa mpole ,mtiifu na mtu wa mungu sana ,na alikuwa ananipenda sana huenda ni kwasababu alikuwa mgeni wa mapenzi,lakin alipofanikiwa kwenda chuo hapo ndo balaa nikaanza kuliona kwni alibadilika gafla akawa mkali ,akawa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Neno haki ni mwiba na sumu mdomoni mwa viongozi wa serikali ya tanzania?

    Imekuwa nadra kwa viongozi wa serikali ya tanzania kutamka neno haki,hata akitokea kiongozi kutamka neno haki anashambuliwa sana kias unaweza kushangaa kwani haki ni sumu kwa viongozi hawa wanaohubiri aman? Hv ndo kusema hawajui haki ndo msingi wa amani? Hili jambo linaniumiza sana kichwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za ndani tabata imekuwa kero isiyoisha

    Saiz pako hovyo
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za ndani tabata imekuwa kero isiyoisha

    Fikiria mtu unaish chumba 80k unategemea iwe sehemu nzur ila ni shida
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sio kosa wala dhambi mtu kuwa CCM au CHAUMMA; Ni ushenzi na ukatili kulazimisha watu kuwa chama Kimoja.

    Mbona CCM wanawaon chadema magaidi? Je ni sawa mtu kuwa chadema n gaidi?
Back
Top Bottom