Recent content by KING COBRA

  1. KING COBRA

    Jakaya Kikwete, umeshindwa kumzika Aboud Jumbe?

    Jk alimuzika Kidude na Shehe Yahaya
  2. KING COBRA

    Nikikasirika mvua inanyesha

    Hamia Dodoma
  3. KING COBRA

    Zitto: Enzi za mfumo wa chama kimoja kulikuwa na majaribio 8 ya kumpindua Nyerere, amuonya Magufuli

    Kama Nyerere alitaka kupibduliwa je Nyerere alikuwa dikiteta?
  4. KING COBRA

    Zitto: Enzi za mfumo wa chama kimoja kulikuwa na majaribio 8 ya kumpindua Nyerere, amuonya Magufuli

    Zitto mwenyewe alitaka kumupindua Mbowe PIA ZITTO NDANI YA ACT NAYE AMEJIPA MADARAKA MAKUBWA NA WAPO WALIOTAKA KUMUPINDUA
  5. KING COBRA

    UKAWA, hili ni bao la mkono mchana kweupe

    Zamani ilikuwa ngumu sana kwa mtu kuhudhuria mikutano ya ccm bila kwenda na Loli lakini sasa hiv..... HIVI KINANA akiitisha mkutano watajaa kama wanavyo jaa kwa jpm?
  6. KING COBRA

    Kafulila: Magufuli anazidi kudidimiza uchumi

    Kafulila ni Technical aliwahi wachambua wafuatao na wakanywea 1. Mbowe 2.Mbatia 3,Mtei
  7. KING COBRA

    Nini kimemtokea Tundu Lissu kwa kubadili jina la Dikteta Uchwara na sasa anaita Mtukufu Rais?

    Agenda Nzuri ni Ile ya Lugumi na Escrow sasa yule wa Msoga anapumua huko mkaleta hili Hebu turudi kule
  8. KING COBRA

    Tundu Lissu atetea ubunge wake kwa hoja 9 kisheria

    Marando yupo wapi? Haya mambo Marando angekuwa ameshatatua sasa naona yanaleta mkanfanyiko
  9. KING COBRA

    N/Waziri Dr. Kigwangalla: LGBT Voice Tanzania wanahamasisha mapenzi ya jinsi moja, wajisalimishe

    LGBT or GLBT is an initialism that stands for lesbian, gay, bisexual, and transgender. In use since the 1990s, the term is an adaptation of the initialism LGB, which was used to replace the term gay in reference to the LGBT community beginning in the mid-to-late 1980s.[2] Activists believed that...
  10. KING COBRA

    Ofisi za NSSF Dar zavamiwa na watu wanaodai mafao yao

    Siyo kweli hata wakati wa Dau bado kulikuwa na uchafu mkubwa ila sasa umepungua kidogo
  11. KING COBRA

    Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

    Kuna somo la lugha ya Kichina hivyo na wachina wapo hapo ijapo wao wana dini nyingine ila kwenye somo hilo wamepanua syllubus , wanafundisha na Kareti . Sasa kwenye Kareti hata wasio soma hilo somo wanaingia
  12. KING COBRA

    Serikali yaibwaga CHADEMA katazo la kufanya maandamano na mikutano ya kisiasa

    Suala hapa siyo kushangilia labda ungeleta Ushahidi wa hoja walizotoa watu wa serikali hadi kushinda kesi Hiyo itaonyesha baya ushindi ni wa nani
  13. KING COBRA

    Mtanzania afariki Denmark nduguze wanatafutwa

    Sasa amekufa bila Picha Maiti ipo wapi? Na nyinyi mpo wapi?
  14. KING COBRA

    Anthony Lusekelo (Mzee wa upako): Wabunge ni viburi, hawasikii

    Naomba utaje kifungu cha bibilia kinachotoa maneno hayo! MIMI SIJAWAHI ONA HILO NA WALA HAKUNA NENO HILO
Back
Top Bottom