Ukiwa huna kitu cha kuongea niheri saana ukakaa kimya tu,,, kama serikali iliona nighali sana kulusha matangazo ya bunge live na kuamua kufungia kwa lengo la kubana matumizi,, nikwanini wamezuwia hata vyombo vingine ambavyo vinauwezo wa kulusha matangazo live bila kulipwa na serikali,,?? Lakini...