Recent content by KING ASSENGA

  1. KING ASSENGA

    Wito wangu kwa G-55, msije mkadharau nguvu na ushawishi walio nao uongozi mpya wa CHADEMA mpya!

    Chadema ya sasa Ina usafi wa Hali ya juu ingekuwa huru kufanya siasa kama miaka ya kabla 2015 ingekuwa noma sana
  2. KING ASSENGA

    Kwaresma na Pasaka Special Thread

    WAKATOLIKI wote tufunge siku zote 40 kesho tukutane kwenye toba kuu tubadilike
  3. KING ASSENGA

    DOKEZO Vibaka wanaotumia boda wanakata watu mapanga Mchana kweupe maeneo ya Kimara

    Usalama wenu upo mikononi mwenu ACHENI kulia Lia chukueni hatua. People's
  4. KING ASSENGA

    Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

    Yakukute mtu 7 alafu uwe na kimwili kama changu. Ule lugha stahiki ni unyanganyi
  5. KING ASSENGA

    Je ulaji wa ndizi huongeza maji ukeni?

    Ni kweli namwoa ila maji mwaa mwaa mwaa
  6. KING ASSENGA

    Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

    Najutia sana kumwamini ni muda machache Kawa jambazi
  7. KING ASSENGA

    Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

    Hana gari Hana lolote zaidi ya pamba Kali wenzie ndio Wana hela
  8. KING ASSENGA

    Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

    Miaka mingi sana . Wengi hatuujui
  9. KING ASSENGA

    Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

    Ndugu zangu, jihadharini sana na marafiki wa karibu hasa kwenye maswala yanayohusu hela. Nimekutwa na utapeli wa aina ambayo yeyote mwenye rafiki anayemwamini hawezi kutoboa kwenye utapeli huo. Huyu rafiki nilimkuta mwaka 2021 huko Iringa kwenye mazingira ya kilimo cha nyanya. Alikuwa muungwana...
  10. KING ASSENGA

    Nilivyopata mpenzi siku ya valentine nikiwa na ex wangu

    Nilitumia ila nimstaarabu sio Malaya kwa uzuri alionao angekuwa Malaya angekuwa na maisha mazuri sana
  11. KING ASSENGA

    Nahisi nilivyosafiri, wife alichepuka

    Utawehuka acha wivu wa kijinga wewe Kula nyama nyamaza
Back
Top Bottom