Habari ndugu zangu wana JF?
Hivi jamani naomba kueleweshwa juu ya hili. Maana fupi ya serikali ni mimi, wewe na yeye kama ni kweli je serikali mambo iliyoyafanya UDOM ni sahihi? na kama sio sahihi basi serikali sio ya watu.
Msaada wa mawazo jamani.
Ahsanteni nyote.
Naam,perhaps its true..nimehudhuria events nyingi za makampuni makubwa yenye mafanikio,watu wenye pesa nyingi...
huchelewi kusikia WE GONNA MAKE IT RAIN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.