Recent content by KING 2GB

  1. K

    Ukweli kuhusu mgomo UDOM

    Habari ndugu zangu wana JF? Hivi jamani naomba kueleweshwa juu ya hili. Maana fupi ya serikali ni mimi, wewe na yeye kama ni kweli je serikali mambo iliyoyafanya UDOM ni sahihi? na kama sio sahihi basi serikali sio ya watu. Msaada wa mawazo jamani. Ahsanteni nyote.
  2. K

    Make It Rain,ni neno linalotumiwa na wamwabuduo shetani katika kutafuta pesa

    Hawa jamaa pia inasemekana ni Devil worshipers,na ukifuatilia nyimbo nyingi za wasanii utasikia neno hili likitumika ipasavyo
  3. K

    Make It Rain,ni neno linalotumiwa na wamwabuduo shetani katika kutafuta pesa

    Makosa ya kiuandishi tu,si unajua si wote tumesoma journalism...so kuwa mpole as long as umeelewa!
  4. K

    Make It Rain,ni neno linalotumiwa na wamwabuduo shetani katika kutafuta pesa

    Naam,perhaps its true..nimehudhuria events nyingi za makampuni makubwa yenye mafanikio,watu wenye pesa nyingi... huchelewi kusikia WE GONNA MAKE IT RAIN
  5. K

    Nini Dawa Asilia ya Chunusi?

    Msaada tafadhali jamani
  6. K

    Nini Dawa Asilia ya Chunusi?

    Habari wana Jf? Naomba msaada wa dawa asilia ya chunusi, Asanteni
Back
Top Bottom