Vyovyote iwavyo uadilifu huanzia ndani.
Tundu huwezi kutuambia kuwa uache mke ulokabidhiwa kihalali toka kwa wazazi wake, uende ukatomba malaya huko nje kuwa ni jambo la kawaida na eti mtu huyo ni muadilifu?
Mungu asingekataza uzinzi km hilo lingekuwa jambo la kawaida. Bill Clinton alikiri...
ccm is "a sleeping giant" kuiangusha kwahitaji patience na ridhaa kutoka kwa wananchi kadhalika kwahitaji ukomavu wa kisiasa,yanayotokea ndani ya chadema yanadhihirisha bado mu wachanga ktk hii medani, ccm; kwa miongo kadhaa wamekuwa wakiwasomesha uongozi wa kisiasa wanachama wake pale kivukoni...
kadhalika kumfanya "bangusilo" mh mkono haitasaidia kitu mwisho mtayasema yasiyokuwemo na matokeo yake mtakuja kufedheheshana, lkn upuuzi mnaoufanya na kunyoosheana vidole wapigakura wanawaangalia na vilevile wanasikia upuuzi mnaoufanya lkn mlipaswa kukumbuka ya kuwa miezi 11 baadaye homa ya...
suala la kukodisha gari ama mali binafsi ni suala la utashi wa pande zinazohusika, iweje zitto kukodi gari kwa mh mkono iwe nongwa? na watu kutaka kuona risiti za malipo kati ya mh zitto na mh mkono...! mekuwa maofisa wa mapato? wengine wanahoji ati mh zitto anapesa kiasi gani hata akodishe gari...
sidhani kama upo sahihi kudhani kuwa ulikuwa kifungoni (mtumwa wa kumfikisha kileleni) bali ulikuwa unatimiza wajibu wako kama mwanaume aliyekamilika, wanasema mwanamke hana dini bali dini yake ipo katikati ya miguu yake yaani katika maumbile yake ya uke,hii maana yake ni kuwa mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.