Katika mtu ninayemuheshimu humunJF ni pamoja na wewe ila hiki ulichoandika, inawezekana uliandika ukiwa umelewa maana hata wewe ukitulia na kusoma, sidhani kama utakielewa.
Hahaaaaa, Pastor Mipanki ndio nani huyo? Yaani mimi ndio pastor Mipanki? Ngoja nimfuatilie mtandaoni. Anaitwa hivyo hivyo pastor Mipanki au ana jina lake?
Maisha haya bro sikia tu kwa watu. Kuna mtu mmoja nilimwomba alikuwa na donda ndugu mguuni. Aiseeee, Muacheni Mungunaitwe Mungu tu. Ni kweli duniani kuna watu wana mateso sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.