Recent content by Kindus

  1. K

    Niko Hapa kuutetea uislam dini yangu ya haki upendo na amani

    Niko na masikitiko na huzuni kubwa sana kuona vile ambayo uislam umefanywa dodoki la kusafisha maghambi ya mwanasiasa Uislam dini ya haki Hii ndiyo falsafa ya dini yetu uislam hsuruhusu kuitweza haki uislamu umeletwa kusimamia haki lakini Cha ajabu viongozi wa wa dini hii haswa wa...
  2. K

    Eti CAG ameshindwa kukagua hati ya CHADEMA kisa kesi mahakamani

    Vituko vya serikali ya mh.Samia vinaendelea Mkaguzi anadai hakwenda kukagua Mali za CHADEMA kwa sababu ya kesi mahakamani Hivi kwani mahakama imekamata Mali za CHADEMA.
  3. K

    Mawakili wa Lissu wamfungulia kesi Kamishna wa Magereza na Mkuu wa Gereza kuu la Ukonga

    Shaur litatupiliwa MBALI hilo hii nchi Sheria hazifanyi kazi tena
  4. K

    Mwigulu Nchemba huna uzalendo wowote, haya Maigizo yako utawapata wajinga na wapumbavu

    Mataulo begani eti ndiyo uzalendo NCH hii kama tumelsniwa vile
  5. K

    PMNA: Pongezi Makamu wa Rais Bal. Dr Mchimbi Kuusema Ukweli Kuhusu Ujinga Huu wa Watu Kugombana Kwasababu ya Vyama!. Watanzania Tuukatae Ujinga Huu!.

    Ukicheza fair na wapinzani watakupora madaraka Apa ubaya ubwela tu bana mbavu CHADEMA mwanzo mwisho Hadi watoe mavi
  6. K

    Shahidi wa ziada kesi ya Lissu ASP Mahamba kumbe ni marehemu

    JAmuhuri ni sisi watanganyika wote Inamaana Lissu mmoja tumemshindwa Hadi tusaidiwe na wafu
  7. K

    Ni wazi kuna baadhi ya Mapadre na Maaskofu wa Kanisa Katoliki wamefurahia sana kifo cha Kadinali Polycarp Pengo

    Mnatia huruma sana yaani hakuna chochote mnachoweza kuzungumza na watu wakawaelewa. Rais amekuwa wa kujifichaficha tuu Hana fraha mda wote mkono shavuni
Back
Top Bottom