Recent content by KINAWARI

  1. K

    Mwigulu nchemba tena!!

    Nimeamini Watanganyika ni Vichwa maji kweli kweli. Unamtetea Mwigulu Nchemba na kumkandia Dr. Slaa? Sawa, Dr. alisema nchi haitatawalika. lakini je! Mwangosi ni Dr. alimtenda vile? Mauaji ya Mwaka juzi Arusha, ni Dr. Slaa? Waliotekwa, kuteswa, kung'olewa kucha, macho na meno, ni Dr. Slaa? Dr...
  2. K

    Mh. Rais amtaka Mh. Mbowe apeleke video ya ushahidi Ikulu!

    Ndugu yangu Kibanga Siku hizi hakuna kitu kinachoitwa USALAMA WA TAIFA, bali kuna UHASAMA WA TAIFA. Rais anahitaji ushahidi mwingine upi? Keshaambiwa risasi zilizotumika ni za bunduki aina ya SMG, ni nani mmiliki wa bunduki hizo? Anyway, ni kwa nini wananchi walipokuwa wanamkimbiza mlipuaji...
  3. K

    Polisi wamtaka Mbowe athibitishe Polisi walivyohusika katika mauwaji ya Arusha, la sivyo...

    Nitamshangaa kwa kiasi kikubwa Mbowe, endapo atapeleka ushahidi huo polisi kirahisi rahisi tuu. Polisi watoe taarifa ya ushahidi uliokwisha kupelekwa kuhusiana na Mwangosi, Mauaji ya Arusha mwaka juzi, Dk. Ulimboka, Kibanda, kuteswa kwa yule mwandishi wa Kigoma n.k. CHADEMA hawawezi kuwa watu wa...
  4. K

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    Mimi nilishasema, nimesema na nitaendelea kusema kuwa Tanzania hatuna Bunge, ila tuna kijiwe cha watu ambao tumekubali watumie fedha zetu za kodi katika kujadili mambo yao yanayohusu kijiwe chao hicho. Siku zinakuja, ambapo Tanzania itapata Bunge rasmi, linalojua majukumu yake kama Bunge...
  5. K

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Sitegemei Mchongoma uzae machungwa au apple. Huyu jamaa katoka kwenye kile kile chama kinachoifilisi nchi. Tusitegemee hata siku moja, chama hicho hicho kitoe watu wazuri wa kuitetea JF na nchi yetu. Anaichukia JF kwa sababu inafichua madudu wanayofanya wakiwa huko madarakani. Ni kama wewe Bwana...
  6. K

    Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

    Wewe hizo takwimu za Waislam kuwa zaidi ya theluthi moja ya watanzania wote umeitoa wapi? mbona sijawahi kusikia mmefanya sensa huko misikitini mwenu? Maana wakristo wana mfumo unaowapa takwimu zinazowahusu kila kukicha. Pili, sensa ya Kiserikali haitafuti kujua ni dini ipi inaizidi nyingine kwa...
  7. K

    Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

    Stephen Wassira hafai kwa lolote. Hata akisafishwa, hasafishiki. Siku akiingia CDM, na akakubaliwa, ndipo nitakapojiridhisha kuwa CDM tumekuwa vilaza wa kufikiri. HIVI WASIRA AKIJA CHADEMA, TUTAMPA KAZI GANI?
  8. K

    Wabara wanaoishi Zanzibar kupewa vitambulisho vya wageni Zanzibar

    Akufukuzaye hakuambii toka. Mara tunataka muungano wa mkataba, mara serikali tatu, na sasa vitambulisho vya ukaazi. Watanganyika tutaendelea kuitwa Wadanganyika hadi lini? Tumezidi kuwa kama makondoo yaliyonyeshewa na mvua. Tuamke, tuzinduke, tuikomboe Tanganyika yetu. Ndoa makanisani na...
  9. K

    Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Tatizo siyo wivu, ila Wananzania tunajiuliza, hizo pesa zote za kufanya haya mambo kapata wati, kama ni juzi tuu alimaliza masomo? Kama kapata kwa uhalali, si tatizo. Pili, Huyu dogo alituhumiwa na Dr. Slaa kuwa ni fisadi, akajikosha kuwa ataenda mahakamani. Dr. alimwambia tangulia mi ntakukuta...
  10. K

    Uteuzi wa Kadhi Mkuu waibua mvutano

    Mimi bado sijalielewa hili jambo la mahakama ya kadhi na mahakama ya serikali. Mfano, mimi ni Mkristo, nimezini na mwanamke wa Kiislam na tukafumaniwa. Kwa shariah, tunatakiwa tupigwe mawe hadi kufa. Kwa Ukristo tunatakiwa kuungama kwa Mungu na kusamehewa (rejea Yohane 8:1-11). Kwa sheria za...
Back
Top Bottom