Recent content by Kinanda JR

  1. K

    Mwigulu na Zitto waungana urais 2015

    kwel kabsa malengo hayo yanamaana kubwa tjama watjifanikiwa ktk ndoto zao,
  2. K

    Hakuna chama cha upinzani Tanzania kinachoweza kuunda serikali

    ww pumbavu kweli huna unalojua kweli upinzani ndio umesababisha uwazi serikalini laiti kama ungejuwa ungeludi kitandani nadhani bado unaota saiz mchana bwana acha kuota au uko kuzimuni nini .
  3. K

    ACT- Tanzania ina wabunge kivuli wawili na kitakuwa chama kikuu cha upinzani 2015

    kaa chonjo kwakua huna ujualo mpira uwanjani mshindi dakika 90, subili tuone lowssa atasimamia wapi na kwa tiketi ipi kuingia ikulu msiwe mnaongelea watu kabla wenyewe hawajaongea.
  4. K

    ACT- Tanzania ina wabunge kivuli wawili na kitakuwa chama kikuu cha upinzani 2015

    ndio naamini hata mm kua ACT inakuja kua chama kikuu cha upinzani kwani kalibuni watu walioko kwenye chama niwatu wenye uwezo wa kujenga hoja binafsi na zenye mashiko hivyo 2ko tayara kuwaunga mkono kwa kishindo kikubwa.
  5. K

    Sitta alivyowadanganya watanzania

    sita kwakua ni nikibaraka wa ccm anadiriki kupindua mawazo ya wananchi hakika huyu hatufai niaheri kama angekua mh. pandu amiri kificho angefanya mabadiliko yakweri kwakutupatia katiba mpya ya wananchi kwan uwezo wake tumeuona wakati akiwa mwenyekiti wa muda BMK hakika angeendelea mh. huyu...
  6. K

    Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

    binafc naelewa kabisa kaz ambazo mh. MKAPA amepiga ktk uongoz wake hivyo hana upumbavu wakupoteza muda wake kwa mambo ambayo hayajengi nchi. aher hil jembe lingeludi madalakan hakika linatustahili.
  7. K

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kwampango Wa Ccm Hakuna Katiba Mpya Bali Ufisadi
  8. K

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Serikali Na Vyombo Hucka Vchukue Ha2a Kwa Makampun Kama Hayo Yanayotangaza Nafac Hewa Zakazi.
Back
Top Bottom