Recent content by kinai

  1. K

    Nani Naibu Katibu Mkuu CHADEMA mtarajiwa?

    Hivi ndivyo chama kinavyopaswa kutenda. Lazima watu waheshimiane na kufuata taratibu za chama ili kufikia malengo. Kuoneana haya na kuogopana ndiko kulikoifikisha ccm ilipo leo. ccm igeni mfano huo mkiwachekea watu kwaajili ya umaarufu wao na fedha mtapotea 2015. viongozi hawawezi kuishi kama...
  2. K

    Sitta: Bilioni 10 zimeandaliwa kwa ajili ya rushwa urais 2015!

    mwache ahangaike na matumaini hewa lakini mwisho wa siku atahesabu hasara. Hizo pesa ni bora wangeanzisha biashara waanze kujiari kabla ya 2015
  3. K

    Kwa wale wanaotaka Magari Japan

    mmmh ! kirahisi rahisi hivyo na hutaki maswali! akili ni nywele kila mtu ana zake
  4. K

    CCM Mbeya kuchafuka kama Bukoba

    kweli miti yote huteleza kifo cha nyani kikiwadia
  5. K

    JK afanya mabadiliko ya ghafla kwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara

    Angalau anaonyesha rais yupo maanake kila mtu alikuwa anajifanyia anachotaka utadhani nchi haina mwenyewe. Endelea zaidi ya hapo labda miaka miwili iliyobaki unaweza kufanya la kukumbukwa na watanzania. Usiwasahau na mawaziri vilaza
  6. K

    Kenyan Professor releases a book on Tanzania, ahead of Barack Obama visit

    It is good to see other people write about our country but we (Tanzanians) need to write about our own history, culture and geography. I think we know much better about ourselves than this Kenyan professor thus we can produce something very reliable, trustworthy and detailed. We must work up and...
  7. K

    Joseph Mbilinyi (Sugu) ameachiwa na hizi ndio sababu...

    Mwenye CV ya Lissu na historia yake kwa ujumla atuwekee humu jf maana naona uwezo wa huyu mtu ni mkubwa sana
  8. K

    Kamanda Mawazo: Wahanga wa uchaguzi mdogo tusiwatelekeze

    Hili ni jambo jema sana na litakalowatia nguvu wanachama na mashabiki wa cdm. Ni lazima kushikamana mpaka dakika ya mwisho. Wanachama na wapenzi wa cdm wapo tayari kuchangia. Vilevile kuna haja ya kutafuta mawakili zaidi ili kupambana na hili wimbi la kesi za kubambikiwa. Wakati huo huo...
  9. K

    Askofu ambomoa Dk. Slaa, amuonya na dhambi ya uzinzi!

    kwani kila kiongozi wa kiroho anaongea ukweli ! unakumbuka yule aliyesema umeme hautapita juu ya kanisa lake! Nadhani kwa kumuongelea dr slaa angalau na sisi tumejua jina la kanisa lake na lake. Ukitaka kujulikana haraka Tanzania kwa sasa muongelee dr slaa
  10. K

    Tukumbuke maneno ya baba wa taifa 1995 "Siwezi kuiacha nchi yangu iongozwe na mbwa"

    Dogs halikubeba maana ya mbwa kama unavyofahamu wewe, Fungua kamusi ya kiingereza ujue maana nyinginezo za neno dogs
  11. K

    Henry Kilewo aitwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi

    ccm wamekabidhi chama chao kwa jeshi la polisi wawasaidie kukiendesha wenyewe wameshindwa kwa hoja na wapinzani. Hivyo tambueni kwa sasa chagonja ni katibu mwenezi wa ccm, manumba katibu mkuu wa ccm na mwema ni mwenyekiti. Nape, mangula na kikwete wapo mapumzikoni na tena wana allergy na...
  12. K

    Henry Kilewo aitwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi

    CCM wamekikabidhi chama chao kwa jeshi la polisi wawasaidie kukiendesha maana wenyewe wameshindwa.Na kwa kua polisi wetu uelewa wao ni mdogo na hawawezi kujenga hoja ndio wanazidi kukizamisha chama walichokabidhiwa wakiendeshe wenye chama chao wamepoteana. Mwenyekiti na katibu wala hawajulikani...
  13. K

    WAZIRI MKUU PINDA: Maiti wote wa mlipuko wa Bomu watazikwa na Serikali!!

    Yaani kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo pinda anavyozidi kuwa mjinga na kushindwa kusawazisha mambo na kuwasimamia mawaziri walio chini yake. Sasa kama hii ndio akili ya waziri mkuu mawaziri wengine wakoje. Hatuna viongozi nchi hii zaidi ya kuwa na watawala. Tushukuru wamebakiza muda mfupi...
  14. K

    Polisi wamwagwa uwanja wa SOWETO hakuna mtu yeyote kukatiza!

    Dalili zote za kushindwa ziko wazi. Eeeh ccm fanya fujo zako za mwisho mwisho kwani mwisho wako umeshafika. Na sijui nani atabaki ccm baada ya kutolewa madarakani 2015 kwani wengi wenu ni waganga njaa na watu wanaotafuta ulaji tu. Nani atakubali kukiongoza chama ambacho hakieleweki malengo na...
  15. K

    Mwema Vjana wako wanadai unawatuma!!!

    Tumia akili yako japo kidogo tu kufikiri. Usifikiri kwa kutumia tumbo
Back
Top Bottom