Huo Ndo Ukweli Kasema .
Maana Kwenye Siasa Hawachelewi.
Kumuwajibisha Hata Marehemu.
Japo Kashayapumzika Majukumu ya Kidunia. Hiyo Ndo Siasa Maji taka.
Ila Tunayo Mengi Ya Kujibu
Al-hamdulillah 🤲.
Ila Pia Na Nyinyi Madaktar
Muwe Na Utu Pale Mgonjwa Anapofikshwa Hospital Akiwa Mahututi Apate Huduma Kwa Wakati.
Kuliko Zile Pigo Zenu za Kupitia Madirishan Ilihali Unaiacha Nafsi Ya Mtu Ikielea Hewani Kisa Sijafungua file,sijalipia Dawa. Haya Yawe Ya Ziada Baada Ya Msaada...
Halafu Kuhusu Kufungwa.
Hilo Ni Zoezi La Karine.
Usisahau Hata Mitume Na Manabii walifungwa Ila Kwa Mapenzi ya Mola Mlezi.
Wakawa salama. Hivyo Pale Tunapozungumzia Kero za Wananchi.
Kuweni Sirius Basi Utani wekeni Pembeni.
Mimi Ninacho Amini Ndani ya Uwanja Huu.
Waliopo wote Ni Watu Wazima...
Hapa Kweli Lazima Tupotezewe.
Maana Sisi wenyewe Tunatofahutiana.
Kwa Kila Kitu. Mawazo Yako na Yangu Mbalimbali. Mimi kuwasilisha hili.
Ni Vile Nimeguswa Kama Mwananchi na Mtanzania. Na Mshirika Alieifanya Hiyo Serikal Ilio busy Kuwa Madarakan.
Hivyo Nina Haki Ya Kusikilizwa Na Wakatii.
Kama...
Ni Kweli Ila Kadiri Siku,miezi,miaka. Inavyosonga mbele Na Mambo yanabadilika.
Ila Inaelekea kupindukia Mipaka.
Kwa mwendo Huu Tumechoka.
Ni wazawa Ndani ya Nchi.
Ila Tunaishi Kama watumwa.
Na Mfungwa Anayo Afueni Kidogo.
Kupiga Tiki Ni Siri ya Mmoja Mmoja.
Hivyo Kura Ni Haki Yako.
Utachagua Wa Kumpa Kula Yako.
We. Hata Ukikutana Na Kivuli Ndani karatasi ya kula. Kipe kivuli Itakuwa ni Siri Yako.
Wala Hamna mjinga Tena Katika Huu Ulimwengu. Awae mjinga kapenda mwenyewe. Taa Ziko On
Kweli Kuna Busara Ndani ya Kupambania Pumzi? Ukitaka Kuamini
Itokee Siku Lala nyumbani Kwako.
Ukiwa Huna Hata Tone La Maji.
Halafu Kutana Na Mtihani.
Wa Kuuguliwa Kama Hujaaenda Kukutana Nayo Hospital Na Ilihali mgonjwa mwenyewe.
Ulishampoteza Kwa Uzembe Wa Wachache.
Ni kweli ziwa lipo Ila Mfumo Uliopo ndo kipengere. Kila Mjenzi Aliejaaliwa kumiliki Aridhi.
Kwa Kadari zake Allah.
Analo Bomba Ila Maji Hayatoki.
Je' Nani Atafungasha Safari.
Kwenda kuchota Maji ziwani.
Ili Hali Tulishaaminishwa Sio salama?
Mpaka Tuyapate Yale Yaliyo Andaliwa na Mfumo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.