Wenye Tanzania ni Mimi na wewe,wenye kuamua Tanzania iweje ni Mimi na wewe,wanasiasa wanajaza watu hofu na tumepokea hofu tumejawa hofu,wanasiasa wanahubili umasikini tumejawa umasikini vichwani,tunayo changamoto moja tu kama taifa tunajua kuongea sana kwenye vijiwe na mitandao.Hatujapenda...
Kuna ndoto aina tatu ndoto za uchovu,ndoto za kufikiria jambo muda mrefu nakulitafakari sana peke yako na ndoto nyingine huwa kama ujumbe toka kwa mungu kukuonesha tukio furani sio lazima litokee wakati huo au sehemu husika uliyopo bali hata sehemu nyingine ( yajayo yana ukakasi tuombe Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.