Kweli kabisa unachokisema na kitu kingine wahenga walichozingatia ni mazoezi unakuta mfano mama mjamzito ni mwalimu na kipindi hicho usafiri kama bodaboda, daladala na magari binafsi yalikuwa hamna au machache matokeo yake kipindi cha ujauzito mama hutembea kwa miguu kila siku kwenda kazini hadi...
Hatari sana.. ukiangalia kipindi cha air crash investigation NGE tairi zimesababisha ajali nyingi haswa ipasuke wakati wa kuruka halafu landing gear ikirudi ndani inaleta moto kwenye engine.. au hata wakati wa kutua ikipasuka ni shida
Tanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
Sio madereva wa Serikali tu hata taasisi na makampuni binafsi madereva hawapendani kabisa lakini kwa utafiti wangu mdogo nimeona wengi wa madereva ni wenye shule ndogo sasa wakipata kazi inalipa kiasi wanakuwa na roho za ajabu na kutopenda mwenzake afikie alipo au apate kama yeye ndio maana...
Comments za hapa haimanishi Kenya inapendwa sana...Huwenda hiyo ndio nchi pekee aliyotembelea Africa sasa atasemaje anaipenda Tz au nchi nyingine kama hajawahi fika?
Rushwa imeangamiza wengi wasio na hatia...Mtu anamtaka mkeo... anaenda kutoa rushwa then unabambikwa likesi zitoo unatiwa ndani halafu jamaa anajilia mzigo taratiiibu huku wewe ukiozea jela.
Usisahau pia odometer tampered unakuta gari imetembea klm laki mbili mtu anapigwa anashushiwa imetembea Km elfu 30 anaingia kichwa kichwa anauziwa bei mbaya, Dah ukiangalia ndani gari ya klm elfu 30 imechakaa kila kona. Hao ma agent ndio michezo yao wao wanakununulia gari lililotembea klm...
Shock up mbele 1pc:D:D huyo fundi wa wapi anaebadilisha shock up ya upande mmoja? kituko..... hizo huwa zinabadilishwa kwa pair ili ziwe na same tension...
Swali la langu ni je unaweka engine oil recommended by manufacture? utakapokosea aina ya oil kwenye engine itakupelekea kwenye ulaji mkubwa wa mafuta mfano unatakiwa uweke 5W30 wewe unaweka 20W50 hiyo gari lazima itumie mafuta mengi, kingine je unafanya service kwa wakati? kama hufanyi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.