Hiv wewe na akina Zitto kabwa ni wanafiki sana.Wakati wa Magufuri aliteua baadhi ya watu amabo ni kabila lake tu kwenye nafasi za kawaida mkaita ni Sukuma Gang lakini Waismau wapena vyeo watoto wao Hadi familia mnasema hakuna shida.Huu ni upuuzi
Afadhali aliyetenda mabaya lakini akajitokeza kuyasema na njia zilizotumika kuyatenda kuliko wanaochecka huku wakutuumiza.Mie polepole kwanza alikuwa balozi akaacha akaja kufukunyua haya matatizo
Ukweli magurufuri aliuawa,,,na mipango ilihusisha usalama wataifa na wafanya baishara wakubwa akina taifa gas,,mkwele etc so nikweli anachosema polepole.Tusimpuuze...sbb angalia mfumo wa Vigo ukivyokuwa unakwenda,,alianza mkaba ambaye alikuwq kigingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.