Weka ili yatatuliwe, vinginevyo tutabaki na ngedere na bundi wakati Kadogosa alisema umeme ukikatika Chuma kinaendelea na mafuta, kweli wananchi tunazarauliwa na the so called viongozi
Kujua ni haki ya Umma , wakazi wa Ars wanamasilahi Yao mikononi mwake, hata kama Kuna mtu kakaimishwa , Kuna mengine atasema msubirini mkuu wa mkoa aje, kama ni likizo vzr ndani ya 28days kitajulikana
Hizi kelele zenu siyo majina, Kuna kitu/vitu vingine vimewakwaza jichunguzeni na mjihoji, kwani hata likiitwa kimya kimya kama Mimi shida iko wapi? Kwani litreni la umeme linapiga kelele, Mimi sijawahi kuliona huku Kahe station sijui ni rais awamu ya ngapi atatuletea
Viongozi wetu wakuu tokea uhuru kila mmoja amejitahidi kwa namna na maarifa yake kutekeleza majukumu yake , japo ki % Kila mmoja wanatofautiana. Viongozi wanapigania kuongeza Pato la ndani na hata kukopa nje Kwa ajili ya miradi mikubwa na midogo ,Moja ya pesa alizotafuta Mh Kikwete ni mradi wa...
Ukitaka nzi wasikufuate tupa mzigo wa mavi, hao ni viroba vya misumari vilikuwa vinamuumiza kubeba hata hivyo ni kosa lake kuwawarudisha wakati kazi ilishamalizwa na Mzee baba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.