Recent content by KIMIYAKIMIYA

  1. K

    Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi

    Weka ili yatatuliwe, vinginevyo tutabaki na ngedere na bundi wakati Kadogosa alisema umeme ukikatika Chuma kinaendelea na mafuta, kweli wananchi tunazarauliwa na the so called viongozi
  2. K

    Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi

    Kujua ni haki ya Umma , wakazi wa Ars wanamasilahi Yao mikononi mwake, hata kama Kuna mtu kakaimishwa , Kuna mengine atasema msubirini mkuu wa mkoa aje, kama ni likizo vzr ndani ya 28days kitajulikana
  3. K

    Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

    Pigeni propaganda wee!!! kipigo Cha goli 7 buyu kinawasubiri tar 8
  4. K

    Treni zote za SGR Kupewa majina ya Viongozi

    Hizi kelele zenu siyo majina, Kuna kitu/vitu vingine vimewakwaza jichunguzeni na mjihoji, kwani hata likiitwa kimya kimya kama Mimi shida iko wapi? Kwani litreni la umeme linapiga kelele, Mimi sijawahi kuliona huku Kahe station sijui ni rais awamu ya ngapi atatuletea
  5. K

    CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

    Aliondoka Nyerere mwenye CCM yake atakuwa kinana? Kafanya Kwa uwezo wake ACHA Sasa apumzikde na wengine waendelee.
  6. K

    Tuwe na adabu Kwa Jakaya, yaani wewe kijana wa misungwi , mbinga, kibondo unajua mipango ya nchi kuliko jakaya hadi umzodoe?

    Viongozi wetu wakuu tokea uhuru kila mmoja amejitahidi kwa namna na maarifa yake kutekeleza majukumu yake , japo ki % Kila mmoja wanatofautiana. Viongozi wanapigania kuongeza Pato la ndani na hata kukopa nje Kwa ajili ya miradi mikubwa na midogo ,Moja ya pesa alizotafuta Mh Kikwete ni mradi wa...
  7. K

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    Kitendo cha kutupandishia Kodi ya Majengo kimiya kimiya kwenye Luku kimenifanya nimchukie sana huyu mnyapaa
  8. K

    PreGE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

    Ukitaka nzi wasikufuate tupa mzigo wa mavi, hao ni viroba vya misumari vilikuwa vinamuumiza kubeba hata hivyo ni kosa lake kuwawarudisha wakati kazi ilishamalizwa na Mzee baba
  9. K

    Nawakumbusha tu; Mtoto wa Mstaafu kashakuwa Waziri kamili, safari yake inaendelea kimyakimya…

    Inamaana Kabul Kuna vyeo ukiwa na mafaili meusi unatunikiwa tu haina shida kasoro nafasi Moja TU
Back
Top Bottom