Recent content by kimbogota

  1. K

    Ipi fridge nzuri ya mlango mmoja?

    Nataka kununua fridge ya mlango mmoja kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Nimeona fridge za kampuni zifuatazo; 1.Mr Uk 2.Boss na 3.Hisense. Hisense compressor yake iko nje na haina bulb kwa ndani. Mwenye ufahamu na hizi fridge naomba ushauri nichukue ipi?
  2. K

    Afisa elimu sekondari Songwe huko kwenye semina ya sensa zingatia yafuatayo

    Maafisa elimu wengi wana elimu za kuungaunga ndio maana hawajiamini.Sekta ya Elimu Tanzania inaongozwa na watu wasio na uwezo iwe wa darasani au wa kiuongozi
  3. K

    Kipi kiwanja safi na totoz za maana Mwanza?

    Karibuni wana mwanza kwa comments
  4. K

    Kipi kiwanja safi na totoz za maana Mwanza?

    Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza. Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya Dar. Kwa mwenye ufahamu adondoshe comment. Karibuni.
Back
Top Bottom