Nataka kununua fridge ya mlango mmoja kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Nimeona fridge za kampuni zifuatazo;
1.Mr Uk
2.Boss na
3.Hisense.
Hisense compressor yake iko nje na haina bulb kwa ndani.
Mwenye ufahamu na hizi fridge naomba ushauri nichukue ipi?
Maafisa elimu wengi wana elimu za kuungaunga ndio maana hawajiamini.Sekta ya Elimu Tanzania inaongozwa na watu wasio na uwezo iwe wa darasani au wa kiuongozi
Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza.
Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya Dar.
Kwa mwenye ufahamu adondoshe comment.
Karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.