Recent content by KimbakaeKO

  1. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    Hii video ni moja ya ushahidi ambao unahitajika kwa wale waliokuwa wanabisha kuhusu UZI husika. Ndio maana imeletwa hii waone na watambue wasiojua yaliyopo zanzibar kisheria, kama uzi ulivyoandikwa. Sheria ilimpokonya nyumba mjomba.
  2. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  3. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  4. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  5. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  6. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  7. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    Msiwe vichwa panzi... Msiwe vichwa Panzi.... https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  8. K

    Je, Zanzibar ni Sauzi?

    https://www.facebook.com/reel/518544180719945/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  9. K

    Natafuta mpenzi kwa waliopo kigoma

    Watu humu kumbe usalama lakini sio mbaya nami Uamani tutakwenda sawa.
  10. K

    Ipi njia bora kupata ajira!? Usaili au bila usaili

    Kuna vitu sijaelewa kwenye comment nyingi za huu uzi. Ila freshhh
  11. K

    Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Hi Hivi unajua baadhi ya vyeti huanza surname badala first name?, hivyo huleta ukakasi kuna muda.
  12. K

    Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Ulivyoandika vyote vinanihusu, umasikini wa kurithi tena umekuwa maradufu. Tunapambana kwa kila namna lakini hatutoki umri ynakwenda pia. Wengi hawatambui ila sisi wengine tupo jamii forum kwa kupata taarifa, maarifa ili tupate fursa, kisha siku moja tujitoe katika hali hii mbaya ya umasikini...
  13. K

    Kumfanyisha Interview Medical Doctor aliyethibitishwa na Baraza la Madaktari (MCT) ni dharau kubwa sana

    Tukumbuke katika hizi fani za Afya wapo wanaofanya mitihani ya leseni(written na practicals ni mwaka mzima wanasubiri huyo mitihani baada ya kuhitimu). Na wengine katika wao, leseni huwa wanapewa tu ikiwa utaomba. Tulitazame hili
  14. K

    Leo ndo nimegundua kumbe sijui ninachokitaka kwenye mahusiano

    Hu Huyu ndio Mimi, ila huyu hajajielewa. Mimi najielewa na ninajifahamu, sihitaji ushauri hivi nilivyonajipenda, na niendelee milele.
Back
Top Bottom