Recent content by KIMAROJW

  1. K

    Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

    Ila nahisi hapa imetumika lugha flani kuficha ukweli. Pengine hayo mapapai na mafenesi yanawakilisha kitu flani. Inaweza ikawa kweli sampuli za mtu mmoja zimepelekwa kwa majina tofauti na majibu yakawa positive na negative at the same time while it was from the same person. Ni mawazo yangu tuu.
  2. K

    Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

    Inawezekana ni vipimo vyetu tulivyonavyo. Lakini hii inatia wasi wasi kama hamna hatua zilizochukuliwa kuhakikisha tunapata majibu sahihi ya sampuli zinazopimwa. Maana fact ni kwamba ugonjwa upo hata kama vipimo wakati mwingine vimetoa majibu ya uongo ( haijulikani kama ni mtu au vipimo ndio...
  3. K

    Je nitakuwa na kosa gani kama nitamwoa msichana wa darasa la saba?

    Elimu sio kitu cha kushikamana nacho sana linapokuja swala la kuoa...... Wapo wasio na elimu (madarasa) lakini ufahamu wao unazidi watu wenye degree wewe tazama moyo wako... Watu wasikufanyie uamuzi.... Maana wengine wanaweza kukushauri other way arround
  4. K

    Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa Msikitini...

    Kwa namna hii, nikujivua ufahamu.
  5. K

    Wanawake Acheni kulea wanaume .Ni dhambi biblia inasema

    napingana na wewe asilimia flani
Back
Top Bottom