Wangewarudishia korosho zao. Hawakuibia mtu, walizipata kwa utaratibu uliokuwa inakubalika tokea biashara ya korosho ianze na katika awamu zote. Kuzitaifisha sio haki.
Hivi kwa miaka hamsini Bakwata imefanya nini? Katika Elimu, Afya nk. Wanajivunia kitu gani? Wameshindwa kujitegemea. Wanasaidiwa na serikali, hata juzi wamesaidiwa. Ni aibu kusaidiwa na asiye muislamu katika kujenga msikiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.