Recent content by KIMAKO KITESHE

  1. K

    JamiiForums Tanzania unajua IQ ya mtu inatafutwaje?

    Mkuu Red Giant, inaelekea umeanzisha kitu bila kutoa ufafanuzi wa kutosha. Wengine tunalearn hapa jamvini mambo kibao. kama IQ huwa inakuwa na kuboreka basi na yangu iko njema sasa, lakini ukianzisha kitu si dhambi ukadefine na kutoa maelezo ya kina, km ulivyoshauriwa.Mkuu Kiranga, nakufurahia...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Nimekukubali. yupo mtu ana goitre hivyo anapata hiyo shida. Nini uhusiano wake na goitre. Je waweza sema chochote juu ya goitre pia na matibabu yake, km yaweza isha bila operation( thyrotoxiciasis), je km lilishapimwa na kuonekana halina cancer badae laweza leta hiyo cancer. kumbuka baada ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa madaktari unaendelea; Watanzania tuungeni mkono

    wamerudi kufuata nini, wao si wababe na wana soko, waache hivyo visent wakatafute kazi nje kama wanavyodai. Aibu kuuwa wagonjwa kwa kupenda hela. TO HELL WITH YOU feck doctors
  4. K

    JamiiForums Tanzania Saa imetimia - madaktari waonyesha njia

    Madactor hawana uzalendo hawa. Kwanza kodi zetu zinawasomesha alafu wanaenda kufanya kazi nje, mkopo wanaurudisha kweli? Nafikiri wakati umefika kwa serikali kuweka mkataba na kila anayetaka kusoma fani ya udaktari kuwa atafanya kazi kwa muda wa miaka mitano ndipo aruhusiwe kwenda atakako ili...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Saa imetimia - madaktari waonyesha njia

    Madactor hawana uzalendo hawa. Kwanza kodi zetu zinawasomesha alafu wanaenda kufanya kazi nje, mkopo wanaurudisha kweli? Nafikiri wakati umefika kwa serikali kuweka mkataba na kila anayetaka kusoma fani ya udaktari kuwa atafanya kazi kwa muda wa miaka mitano ndipo aruhusiwe kwenda atakako ili...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kafulila na Zitto wanaivuruga NCCR - Moses Machali

    Kwako mhe Zitto. Pole na kuugua. Sisi watanzania hatujambo! Nimeshitushwa na jinsi ulivyo na hasira za ajabu, kweli mtu anaweza onyesha uhalisia wake hata anapoaddress vitu. Mimi nina gazeti la Tanzania daima na lina kichwa cha habari: Mbatia, Kafulila Vitani, mwandishi Betty kangonga...
Back
Top Bottom