Asante kwa ushauri mkuu lakini ni vema ungesema ni ushauri kwa wahitimu wa kidato cha nne wanaotarajia kusoma nje na kufanya kazi nje ya nchi kwa maelezo yako. Pili huna sababu ya kuiomba serikali ilazimishe A level kwa sababu hizo! Mwanafunzi ataongeza nini Cha maana maishani kwa miaka yote...
Kulingana na uzoefu wangu...
Kuna mwanamke halafu Kuna mke. Mke aweza kuwa mwanamke ila ni nadra sana mwanamke kuwa mke. Watu wengi ktk mahusiano hushindwa kutofautisha anadate na mwanamke au mke! Mwanamke hana cha kupoteza kwako,mke anafocus na kesho Yako/yenu!
Mke huonekana tangu ktk hatua...
Utangulizi
Ni kweli unasitahili kulaumu. Ni kweli wazazi hawakukuandalia mazingira rafiki ya kufikia mafanikio yako. Wewe siyo kama Mo Dewji aliyerejea nchini baada ya kuhitimu chuo Marekani 1998 na kuendeleza kampuni (MeTL) ya baba yake yenye mapato yanayofikia dola milioni 30 kwa wakati huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.