Recent content by kilungula

  1. kilungula

    KITAMBI KINANIKERA KWA KWELI

    Wakuu kitambi changu kinanisumbua, ikizingatiwa mimi ni mwanamama. Nguo hazikai vizuri. Naomba mnisaidie "Diet" na mpangilio wa chakula kuanzia chai, lunch na dinner.
  2. kilungula

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Na mimi nitajaribu leo maana ucngizi ni shida.
  3. kilungula

    Tumbo kubwa

    Asante. Hiyo nitaifanyia kazi.
  4. kilungula

    Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

    Du nimejifunza kitu :A S wink:
  5. kilungula

    Tumbo kubwa

    Wanajamii naombeni msaada. Mimi ni mwanamke wa makamo. Nina tumbo kubwa (Kitambi) hivi kuna mtu ametumia Clean 9 na imemsaidia? Naomba anijuze ili nami niweze kuitumia.
Back
Top Bottom