Kama kweli mission ya covd ni kupunguza ongezeko la watu Duniani, basi huo ni mpango wa kidicteta uliopitiliza
Kwa sababu mission hii, haibagui wema wala majambazi!
Ninachotaka kusema, Wakubwa wa Dunia hii ni watu wanaocheza na akili zetu ili tusitoke mahali pa kuombaomba misaada kwao na...
Kwani Demokrasia ni nini mkuu, kuandamana na kutukana viongozi siyo?
Maana ulichotaja hapo hayapo ndani ya deomkrasia, ni wizi kama wizi mwingine, maana hayo yanapaswa yawe under dicteta ili awalipue hao majambazi bila kusubiri hata mahakama
Kwa hiyo unakubaliana kwamba Demokrasia ni moja ya kuleta matabaka na migawanyiko kwenye jamii siyo?
Au kwamba Demokrasia ni sawa na mtu akichezea mkia wa simba huku akijua simba anatafuna watu, au inabidi simba awe kibogoyo tu ili achezewe kwa namna zote, kipi kizuri hapo?
Basi huku kinachotumaliza na kutuingiza kwenye vita vya maneno na kutunishiana pia kuingia mogogoro ya kutwangana sisi kwa Sisi ni tafsri potofu ya demokrasia aisee
kwa hiyo siku hizi chanjo zimebadirika? zimekuwa tofauti na chanjo za zingine tulizowahi kuchanjwa?
yaani chanjo za leo uchanjwe ama usichanjwe hatari ni ileile?
Matamko mengi ya viongozi, huangalia upepo wa wananchi unakwendaje
Kunawaotetea sipika yuko sahihi kwa sababu yupo kwenye utawala wake kama mwajiri wa wawabunge, wanasahau kwamba kauli ya mh Raisi ni sheria, vinginevyo mh Rais atengue kauli yake ili sipika kauli yake ipate nguvu
Nasikia kuna vichwa maji vinahoji wanaotafuta ukweli kuhusu usalama wa uhai wao wa baada ya kutumia hizi chanjo, eti ni kwa niuni wanahoji,
Hivi, ni mjinga nani ambaye hawezi kuuliza juu ya mashaka ya chanjo hizi xinazoendelea huko duniani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.