Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Hiyo kazi anaiweza snAnachoweza ni kupiga kiwi nyeusi kichwani mwake tu
Hiyo kazi anaiweza snAnachoweza ni kupiga kiwi nyeusi kichwani mwake tu
Jamaa alikuwa mwembamba hivi asee?Anaogopa asije akarudi huku alikotokeaView attachment 1890983
Akili zenu za kitoto au ni beck tatu😂 😂 😂 kwa chuo hapana Veta,mtc na dit vinatosha......nashauri nilisikia eneo la ikulu ni kubwa sana,kwanini wasijenge apartment nyingi wakapangisha wakapata hela kufidia malipo ya tozo kwa wananchi,ni wazo langu tu
Amerithishwa! Kivipi?Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo tarehe 13 / 08/2021 amekagua ujenzi wa Ikulu ya jijini Dodoma ambao mpaka sasa umefikia hatua ya finishing.
Waziri mkuu amerithishwa na maendeleo ya ujenzi huo na ana imani utakamilika kwa wakati na kukabidhiwa kwa watanzania.
View attachment 1890900
Dawa ya jeuri ni kiburiBro una stress kali umekula kweli!!?
Kesi ya Gaidi inaendeleaje hapo kisutu? Umerudishwa aendelee kunyea ndoo? Tueleze maendeleo. Mama unapiga mwingi.pm la ovyo sana hili.
Linatumia teknolojia, vifaa na muenekano unaoendana na tulipo sasa hivi kama nchi huru. Badala ya kuwaiga wajerumani, tungeiga kutoka tembe za wagogo lakini tungeziboresha kwa kutumia vifaa na teknolojia ya wakati inayoendana na mazingira ya Dodoma.Jengo linaloendana na taifa letu la sasa ndo likoje?
Duh!Linatumia teknolojia, vifaa na muenekano unaoendana na tulipo sasa hivi kama nchi huru. Badala ya kuwaiga wajerumani, tungeiga kutoka tembe za wagogo lakini tungeziboresha kwa kutumia vifaa na teknolojia ya wakati inayoendana na mazingira ya Dodoma.
Amandla....
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo tarehe 13 / 08/2021 amekagua ujenzi wa Ikulu ya jijini Dodoma ambao mpaka sasa umefikia hatua ya finishing.
Waziri mkuu amerithishwa na maendeleo ya ujenzi huo na ana imani utakamilika kwa wakati na kukabidhiwa kwa watanzania.
View attachment 1890900
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo tarehe 13 / 08/2021 amekagua ujenzi wa Ikulu ya jijini Dodoma ambao mpaka sasa umefikia hatua ya finishing.
Waziri mkuu amerithishwa na maendeleo ya ujenzi huo na ana imani utakamilika kwa wakati na kukabidhiwa kwa watanzania.
View attachment 1890900
Aibu sanaMiaka sitini ya kujitawala na tumeshindwa kubuni jengo linaloendana na taifa letu la sasa? Tunabaki kukopi jengo lililobuniwa na wajerumani zaidi ya miaka mia iliyopita? Ni aibu sana.
Amandla....
Kwa nini?Ikulu ya Chamwino Dodoma ipo tangu enzi za Mwalimu.
Magufuli aliamua kujenga kubwa na yenye hadhi zaidi!
Ila matumizi mazuri ya kodi za wananchi ni kuwa gaidi na kufadhiri vikundi vya kigaidi