Recent content by kilolojr

  1. K

    JamiiForums Tanzania Aliyefanikiwa kupata joining instruction St joseph Engneering and Technology

    Hiyo Kozi ni nzuri sana bwana Mdogo. Mimi nilikuwa hapo St Joseph kwa sasa nakula maisha serikalini. Nenda kapambane fuata kilichokupeleka achana na magroup mengine. I wish you all the best.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

    Ndugu yangu mpeleke ni moja ya vyuo vizuri take it from me. Mapungufu kila sehem yapo. Muhimu katika vyuo vya St Joseph ni nidhamu kama upo seminary.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

    Tanzania majungu sijui yataisha lini. Pigeni shule vijana, Wewe kama umeshindwa shule usitafute sababu ya wenzako pia washindwe. Watu wamesoma hapo na wamemaliza wapo kwenye soko la ajira huko wana pambana na kazi za kujenga taifa. Mtoa mada jipange upya.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa wanaochagua vyuo vya St. Joseph

    Hakuna chuo ambacho hakina matatizo. !!! Vijana wengi wa siku hizi mna penda mteremko, St Joseph ni kwa wale wanaopenda kufuata sheria ni sehemu muhimu sana ya kupata elimu. Kwa taarifa yako nenda kwenye soko la ajira ndiyo utapata majibu huko. Vijana wanaotoka St Joseph wapo vizuri sana...
Back
Top Bottom