Hao marekani ni wanafiki ,
Mbona waliwapiga wanafunzi walioandamna ili Kuzuia vita vya Israel na wapalestina ?
Iyo demokrasia inatakiwa Africa peke yake ?
Mungu Ametupa maarifa ili tuweze kuyatumia ktk mazingira yetu.
Wote tunaamini kuwa mungu ndio mlinzi wetu.
Hivi kwa nini mkuu usiku ukilala huwa unafunga milango ya nyumba wakati mlinzi wetu mungu yupo?
Mkuu embu tuache kumjaribu mungu.
Tuchukue tahadhari ndio mungu atatusaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.