Recent content by kilokiki

  1. kilokiki

    Maandamano ya Kenya: UN na mataifa makubwa yalaani mauwaji ya waandamanaji

    Hao marekani ni wanafiki , Mbona waliwapiga wanafunzi walioandamna ili Kuzuia vita vya Israel na wapalestina ? Iyo demokrasia inatakiwa Africa peke yake ?
  2. kilokiki

    Mbowe anyemelewa na TRA mkoa wa Kilimanjaro, Apewa siku 14 kulipa kodi Tsh 13.5m

    Hapana mkuu jamaa bado yupo hai Ila mtesaji ameshakwenda zake
  3. kilokiki

    Askofu Ruwa'ichi azidi kuwapongeza wanaovaa barakoa na kujilinda dhidi ya COVID-19

    Mungu Ametupa maarifa ili tuweze kuyatumia ktk mazingira yetu. Wote tunaamini kuwa mungu ndio mlinzi wetu. Hivi kwa nini mkuu usiku ukilala huwa unafunga milango ya nyumba wakati mlinzi wetu mungu yupo? Mkuu embu tuache kumjaribu mungu. Tuchukue tahadhari ndio mungu atatusaidi
  4. kilokiki

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Kila mtu kumbe anaisoma kwa namba yake
  5. kilokiki

    Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo(HESLB); Taasisi ya Serikali iliyorasimishwa kuwatapeli wanyonge

    Mkuu Bora umenistua maana nilichokua nataka kukiandika nahisi ningepigwa ban ya Milele zidi ya huyo zoba
  6. kilokiki

    Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo(HESLB); Taasisi ya Serikali iliyorasimishwa kuwatapeli wanyonge

    Mkuu kwa hili naona wengine akili iNaanza kuwaingia. Maana siwaoni Kwenye huu uzi. Wanaotetea ni wale walioishia la saba
  7. kilokiki

    Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo(HESLB); Taasisi ya Serikali iliyorasimishwa kuwatapeli wanyonge

    Mkuu mbona umetoka nje ya mada? Jibu hoja, je serekari inachokifanya ni sahihi? Au mwenzetu sio mnufaika wa mkopo wa elimu?
  8. kilokiki

    Kwa hili, Kigwangalla hufai kuwa hata mbunge

    Mkuu hapo kakosea. Adhabu haikupaswa kutolewa hadharani
  9. kilokiki

    Wito: Kampeni ya kum-follow Pompeo

    Sijawahi kujiunga huko But ngoja nikaipakue hiyo application
  10. kilokiki

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Ni wewe kweli dada yangu uliyeandika? Utawala huu kila mtu ananena kwa namna yake
  11. kilokiki

    GE2020 WCB yamwaga mamilioni kwa kigogo CCM

    Yaani uongo wako ungetimia kama usingemihusisha diamond na ubunge. Yule jamaa kwa levo aliyoifikia hawezi kugombea ubunge. Labda ungesema anataka uraisi ungenishawishi
Back
Top Bottom